Nadhan kuna haja ya kuunda kikos kaz hasa kwa wenzetu mlio vyuo vya dar coz hili ni janga ndg zangu tunahitaji kujua hatima yetu,so natoa changamoto kuwa kama kuna wadau upo dar plz mjitokeze ikibidi na contact zetu ili tujipange kufuatilia hili kama kama timu yawekana tukapata jibu juu ya hili,ni imani yangu kuwa mtaungana nami,inauma sana.Binafs nipo mkoani lkn naweza kuwa organizer katika hili.0713199288.Pamoja tunaweza wadau.