Azam ya msimu huu inaogopesha mpaka basi! Kama mpaka Mudathir ameachwa, basi inabidi Yanga tujiandae kweli kweli! Ili wakijitahidi sana, wakamate nafasi ya pili.
Kumbe mmiliki ndio huyu anayetukamua tozo Kila mahaliNchi ya ovyo San na mmiliki wa klbu hyo pia nae Ni shabiki mandaz siku akifukuzwa huo uwazir huo timu inapoteana mapema sna
Mudathir hajaachwa... Alipewa mkataba mpya akagoma kusinya, alikuwa anataka mpunga mrefu. So wameshindwana kwenye maslahi binafsi ikabidi kila upande uchukue hamsini zake.Azam ya msimu huu inaogopesha mpaka basi! Kama mpaka Mudathir ameachwa, basi inabidi Yanga tujiandae kweli kweli! Ili wakijitahidi sana, wakamate nafasi ya pili.
[emoji23][emoji23][emoji23]We unataka kocha au unataka mtu wa kukubandua?
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Bocco alitemwa Azam Fc, akaja kufiti Simba Sc kwa misimu zaidi ya miwili.Atemwe azam afit simba maajabu
Bocco,manula,kapombe ni case tofautiBocco alitemwa Azam Fc, akaja kufiti Simba Sc kwa misimu zaidi ya miwili.
ulikuwa unasema..? HahaKatika viungo siwaelewi huyu mmoja wapo, hana uwezo kabisa wa kutawala dimba, si kwa pasi, si kwa mikimbio si kwa lolote.
Wewe kweli sio mbumbumbu, Simba sijui ulifata nini mkuu..?Watu wengine wajinga humu, mm niliwahi kupinga usajili wa Yussuf Mhilu watu wakanitukana sana, Leo yuko wap, huyo Jimmson Mwanuke na Mudathiri nani ana afadhali, Mudathir na Nyoni nani mtu kazi? Mm nimeshauri tu sio lazima ushauri ukubaliwe, azam iliwatema Bocco, kapombe, manula na nyoni wakaja Simba, wamekuwa bora sana na ndivyo itakavyokuwa kwa Mudathiri
Kwamba unadhani ndio nabadili kauli, kwangu still sio bora, mfumo mzima wa yanga ni rahisi kwake, kaikuta pia timu imetulia.. Yanga wanafaida ya viungo, wanaupiga mwingi sana, so nae anaonekana bora kwa msaada wa mfumo, ila kwangu bado si bora. Yanga wana tabia ya nzengeli, pacome wote kuingia ndani kukipiga kama viungo, hapo kiungo yoykte wa daraja lake atashine.U
ulikuwa unasema..? Haha
Itakua haya maneno yalimfanya atumie ID nyingine.Jamaa aliona mbali sanaa, ila jamaa hayupo active Jf toka mwaka jana. Yupo hai kweli?
Sijawahi kuona kipa No.1 wa timu kubwa mbovu kama Valdes.Kwamba unadhani ndio nabadili kauli, kwangu still sio bora, mfumo mzima wa yanga ni rahisi kwake, kaikuta pia timu imetulia.. Yanga wanafaida ya viungo, wanaupiga mwingi sana, so nae anaonekana bora kwa msaada wa mfumo, ila kwangu bado si bora. Yanga wana tabia ya nzengeli, pacome wote kuingia ndani kukipiga kama viungo, hapo kiungo yoykte wa daraja lake atashine.
Kukusaidia tu Victor valdes kacheza barcelona ile ya motoo kabisa, na akabeba makombe mengi pamoja na ubovu wake.
Hapa Mwasibu uliona mbali.ushauri-Mandonga
Na ndio alicheza akawa panga pangua ππ na akashinda vikombe kedekede πSijawahi kuona kipa No.1 wa timu kubwa mbovu kama Valdes.
hawezi kukubali kabla hajaenda yanga simba walimfata na baadae wakamtelekezaMoja ya viungo punda hapa nchini ni Mudathir Yahya, nimesikia azam wameachana naye, azam wamefanya kosa kubwa sana, Mudathir ni mahiri sana na ana uwezo mkubwa sana wa kuzunguka dimba la chini na la juu, ni afadhali twende na Mudathiri kuliko Mkude au Mzamiru au Nyoni, hao hawana jipya tena,
Mkude majeruhi kila siku kutokana na tabia zake yeye na Dilunga nje ya uwanja ambavyo vinaathiri viwango vyao, nitafurahi sana nikimuona Mudathiri Simba day, CHONDE chonde viongozi wangu, nawaomba sana, niko chini ya miguu yenu,
Tunamhitaji Mudathiri akatoe changamoto mpya kwa akina mkude ambao wameshakuwa maji ya jioni.
Ulikuwa unasemaje?ushauri-Mandonga