Naiomba TAKUKURU imuite kocha wa Singida Black Stars na kumhoji anaweza kuwasaidia kujua nani aliagiza kikosi cha pili kianze leo

Naiomba TAKUKURU imuite kocha wa Singida Black Stars na kumhoji anaweza kuwasaidia kujua nani aliagiza kikosi cha pili kianze leo

Joined
Nov 27, 2024
Posts
43
Reaction score
127
Ukweli lazima usemwe mechi ya leo imetia aibu sana mpira wetu, wachezaji wa maana kabisa waliosajiliwa kwa mamilioni ya shilingi kwa ajili ya kucheza mechi kubwa wamewekwa benchi halafu wanakuja kuchezeshwa akina Rashid Juma.

Ukweli lazima usemwe kuwa Jana na juzi wachezaji walikuwa busy na harusi ya Aziz ufunguo, na leo Singida wangeweka full mkoko jamaa alikuwa anakufa vizuri TU.

Singida wamekamilika asikwambie mtu, kuwafunga lazima ufanye namna kama hivi kuchezesha wachezaji wa kikosi cha pili, Takukuru wanaweza kuanzia hapa, nani alimtuma kocha asipange kikosi cha maana mchezo wa leo?

Soma Pia: FT | Yanga 2-1 Singida Black Stars | NBC Premier League | KMC Complex | 17.02.2025


Hivi ni kweli unaweza kuikabili Yanga kwa kucheza na wachezaji wa kikosi kile cha leo wakati mnao wachezaji wa maana kabisa?

Kwahiyo upo uwezekano kulikuwa na mawasiliano kuwa kwa vile wachezaji wamechoka na harusi ya Aziz basi wekeni wachezaji fair ili tusiharibu ladha yetu kuelekea ubingwa, kiukweli kila mtu ameona leo kuwa kilichofanyika is unfair.
 
Yaani kocha apangiwe wachezaji wa kuanza kucheza mechi na shabiki?!!
Maana ya kikosi kipana ni yapi?
Uyanga na Usimba unaharibu mpira wetu Kwa kuziwazia timu zetu.
Vipi wangeshinda SBS?
 
ila kwa kweli inafikirisha. mchezaji kama bada koffi damaro tra bi tra keyekeh wote nje na mtu umespend alot of money to sign them.
kwanza mie ningekuwa mchezaji aise naondoka. mechinubwa hizi ndio za kujichukulia uspoon alafa eti unawekwa bench kwa stupid reason ya rotation....mbona yanga hawajafanya rotation?
 
ila kwa kweli inafikirisha. mchezaji kama bada koffi damaro tra bi tra keyekeh wote nje na mtu umespend alot of money to sign them.
kwanza mie ningekuwa mchezaji aise naondoka. mechinubwa hizi ndio za kujichukulia uspoon alafa eti unawekwa bench kwa stupid reason ya rotation....mbona yanga hawajafanya rotation?
Hao wachezaji wote wameambiwa siku moja watacheza yanga kuna mchezaji mmoja wa singida nimemsahau jina alifanyiwa interview akasema anamshukuru engineer hersi kwa kumsajili aisee mchezaji wa singida anamshukuru kiongozi wa yanga.
 
Ukweli lazima usemwe mechi ya leo imetia aibu sana mpira wetu, wachezaji wa maana kabisa waliosajiliwa kwa mamilioni ya shilingi kwa ajili ya kucheza mechi kubwa wamewekwa benchi halafu wanakuja kuchezeshwa akina Rashid Juma.

Ukweli lazima usemwe kuwa Jana na juzi wachezaji walikuwa busy na harusi ya Aziz ufunguo, na leo Singida wangeweka full mkoko jamaa alikuwa anakufa vizuri TU.

Singida wamekamilika asikwambie mtu, kuwafunga lazima ufanye namna kama hivi kuchezesha wachezaji wa kikosi cha pili, Takukuru wanaweza kuanzia hapa, nani alimtuma kocha asipange kikosi cha maana mchezo wa leo?

Soma Pia: FT | Yanga 2-1 Singida Black Stars | NBC Premier League | KMC Complex | 17.02.2025

Hivi ni kweli unaweza kuikabili Yanga kwa kucheza na wachezaji wa kikosi kile cha leo wakati mnao wachezaji wa maana kabisa?

Kwahiyo upo uwezekano kulikuwa na mawasiliano kuwa kwa vile wachezaji wamechoka na harusi ya Aziz basi wekeni wachezaji fair ili tusiharibu ladha yetu kuelekea ubingwa, kiukweli kila mtu ameona leo kuwa kilichofanyika is unfair.
Umerogwa😹😹
 
Ukweli lazima usemwe mechi ya leo imetia aibu sana mpira wetu, wachezaji wa maana kabisa waliosajiliwa kwa mamilioni ya shilingi kwa ajili ya kucheza mechi kubwa wamewekwa benchi halafu wanakuja kuchezeshwa akina Rashid Juma.

Ukweli lazima usemwe kuwa Jana na juzi wachezaji walikuwa busy na harusi ya Aziz ufunguo, na leo Singida wangeweka full mkoko jamaa alikuwa anakufa vizuri TU.

Singida wamekamilika asikwambie mtu, kuwafunga lazima ufanye namna kama hivi kuchezesha wachezaji wa kikosi cha pili, Takukuru wanaweza kuanzia hapa, nani alimtuma kocha asipange kikosi cha maana mchezo wa leo?

Soma Pia: FT | Yanga 2-1 Singida Black Stars | NBC Premier League | KMC Complex | 17.02.2025

Hivi ni kweli unaweza kuikabili Yanga kwa kucheza na wachezaji wa kikosi kile cha leo wakati mnao wachezaji wa maana kabisa?

Kwahiyo upo uwezekano kulikuwa na mawasiliano kuwa kwa vile wachezaji wamechoka na harusi ya Aziz basi wekeni wachezaji fair ili tusiharibu ladha yetu kuelekea ubingwa, kiukweli kila mtu ameona leo kuwa kilichofanyika is unfair.
Yule kocha kutoka Afrika Kusini aliondoka baada ya Mwigulu kutaka kumpangia kikosi Ila huyu wa Kenya ni njaa Kali.
 
Ukweli lazima usemwe mechi ya leo imetia aibu sana mpira wetu, wachezaji wa maana kabisa waliosajiliwa kwa mamilioni ya shilingi kwa ajili ya kucheza mechi kubwa wamewekwa benchi halafu wanakuja kuchezeshwa akina Rashid Juma.

Ukweli lazima usemwe kuwa Jana na juzi wachezaji walikuwa busy na harusi ya Aziz ufunguo, na leo Singida wangeweka full mkoko jamaa alikuwa anakufa vizuri TU.

Singida wamekamilika asikwambie mtu, kuwafunga lazima ufanye namna kama hivi kuchezesha wachezaji wa kikosi cha pili, Takukuru wanaweza kuanzia hapa, nani alimtuma kocha asipange kikosi cha maana mchezo wa leo?

Soma Pia: FT | Yanga 2-1 Singida Black Stars | NBC Premier League | KMC Complex | 17.02.2025

Hivi ni kweli unaweza kuikabili Yanga kwa kucheza na wachezaji wa kikosi kile cha leo wakati mnao wachezaji wa maana kabisa?

Kwahiyo upo uwezekano kulikuwa na mawasiliano kuwa kwa vile wachezaji wamechoka na harusi ya Aziz basi wekeni wachezaji fair ili tusiharibu ladha yetu kuelekea ubingwa, kiukweli kila mtu ameona leo kuwa kilichofanyika is unfair.
Uyanga na Simba umewafanya kuwa Mazuzu Pro Max? Ukiulizwa mchezaji wa kikosi B Kwa hao waliocheza Jana utamtaja?
 
Ukweli lazima usemwe mechi ya leo imetia aibu sana mpira wetu, wachezaji wa maana kabisa waliosajiliwa kwa mamilioni ya shilingi kwa ajili ya kucheza mechi kubwa wamewekwa benchi halafu wanakuja kuchezeshwa akina Rashid Juma.

Ukweli lazima usemwe kuwa Jana na juzi wachezaji walikuwa busy na harusi ya Aziz ufunguo, na leo Singida wangeweka full mkoko jamaa alikuwa anakufa vizuri TU.

Singida wamekamilika asikwambie mtu, kuwafunga lazima ufanye namna kama hivi kuchezesha wachezaji wa kikosi cha pili, Takukuru wanaweza kuanzia hapa, nani alimtuma kocha asipange kikosi cha maana mchezo wa leo?

Soma Pia: FT | Yanga 2-1 Singida Black Stars | NBC Premier League | KMC Complex | 17.02.2025

Hivi ni kweli unaweza kuikabili Yanga kwa kucheza na wachezaji wa kikosi kile cha leo wakati mnao wachezaji wa maana kabisa?

Kwahiyo upo uwezekano kulikuwa na mawasiliano kuwa kwa vile wachezaji wamechoka na harusi ya Aziz basi wekeni wachezaji fair ili tusiharibu ladha yetu kuelekea ubingwa, kiukweli kila mtu ameona leo kuwa kilichofanyika is unfair.
Kwani kuna katazo la kisheria kuchezesha kikosi cha pili?
 
Ukweli lazima usemwe mechi ya leo imetia aibu sana mpira wetu, wachezaji wa maana kabisa waliosajiliwa kwa mamilioni ya shilingi kwa ajili ya kucheza mechi kubwa wamewekwa benchi halafu wanakuja kuchezeshwa akina Rashid Juma.

Ukweli lazima usemwe kuwa Jana na juzi wachezaji walikuwa busy na harusi ya Aziz ufunguo, na leo Singida wangeweka full mkoko jamaa alikuwa anakufa vizuri TU.

Singida wamekamilika asikwambie mtu, kuwafunga lazima ufanye namna kama hivi kuchezesha wachezaji wa kikosi cha pili, Takukuru wanaweza kuanzia hapa, nani alimtuma kocha asipange kikosi cha maana mchezo wa leo?

Soma Pia: FT | Yanga 2-1 Singida Black Stars | NBC Premier League | KMC Complex | 17.02.2025

Hivi ni kweli unaweza kuikabili Yanga kwa kucheza na wachezaji wa kikosi kile cha leo wakati mnao wachezaji wa maana kabisa?

Kwahiyo upo uwezekano kulikuwa na mawasiliano kuwa kwa vile wachezaji wamechoka na harusi ya Aziz basi wekeni wachezaji fair ili tusiharibu ladha yetu kuelekea ubingwa, kiukweli kila mtu ameona leo kuwa kilichofanyika is unfair.
Poleni kwa kuvurugwa! Timu kama Yanga ikishakutangulia tu kwa gap la point 5, baadhi ya vipolo vyako lazima tu vitachacha. Kufungwa wafungwe SBS, maumivu wamepata mashabiki wa Simba na viongozi wao!
 
MAKOLO YAMEPAGAWA !
IMG-20250218-WA0016.jpg
 
Hao wachezaji wote wameambiwa siku moja watacheza yanga kuna mchezaji mmoja wa singida nimemsahau jina alifanyiwa interview akasema anamshukuru engineer hersi kwa kumsajili aisee mchezaji wa singida anamshukuru kiongozi wa yanga.
Yanga ni timu kubwa na ndiyo maana hata Chasambi anatamani kucheza na Max Nzengeli! Israel Mwenda kwa sasa naye amechukua nafasi Jangwani! Bila shaka hata wewe mwenyewe ungetamani kuwa Mwananchi! Ila ndiyo hivyo tena!
 
Hao wachezaji wote wameambiwa siku moja watacheza yanga kuna mchezaji mmoja wa singida nimemsahau jina alifanyiwa interview akasema anamshukuru engineer hersi kwa kumsajili aisee mchezaji wa singida anamshukuru kiongozi wa yanga.
Na ndio aliyefunga goli la Singida
 
Uyanga na Simba umewafanya kuwa Mazuzu Pro Max? Ukiulizwa mchezaji wa kikosi B Kwa hao waliocheza Jana utamtaja?
Hili nawauliza watu kwenye threads zilizoripuka wanarukaruka tu. Hakuna mchezaji wa kikosi B aliyecheza jana
 
Nadhani kama ilikuwa n mpango wao kufungwa, ht wangeingiza kikosi cha kwanza bado wangefungwa tuu
 
ila kwa kweli inafikirisha. mchezaji kama bada koffi damaro tra bi tra keyekeh wote nje na mtu umespend alot of money to sign them.
kwanza mie ningekuwa mchezaji aise naondoka. mechinubwa hizi ndio za kujichukulia uspoon alafa eti unawekwa bench kwa stupid reason ya rotation....mbona yanga hawajafanya rotation?
Kocha side anahojiwa akiwa kule aliko Sasa anasema ligi ya Algeria ngumu na kila timu imejipanga vilivyo, ila anashangaa Tanzania timu pinzani zikifungwa na utopolo zinafurahia
 
Back
Top Bottom