Naiombea Timu ya Taifa ifungwe na Guinea na tuendelee kufungwa mechi za Simba na Yanga mpaka tuwe na kauli moja na kuwajibika

Naiombea Timu ya Taifa ifungwe na Guinea na tuendelee kufungwa mechi za Simba na Yanga mpaka tuwe na kauli moja na kuwajibika

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,466
Reaction score
18,206
Taifa limekuwa la kutekana kuuwana huku tukijinasibu kuwa ss ni kisiwa cha amani, amani ipi? watu wanatekwa wanauwawa na kisha bado viongozi wanaongea porojo alfu wanakimbilia kwenye mipira kuficha ualifu wao na ushetani wao, sasa nasema taifa 🌟 ipigwe vzr magoli ya kutosha hadi tuwe na kauli moja kama taifa na viongozi wawajibike.

Sina raha kutazama Mpira huku sijui Hatma Ya watanzAnia wenzetu walio potezwa na dola wako wapi hyo hamu ya Mpira naitoa wapi? ni Kiwa na uzuni?

Mwenyenzi Mungu fanya lolote hii timu ifungwe na hata hizi simba na yanga viondolewe caf championship na confedaration hadi zote kwa pmj tuwe Salam na wenzetu warudi.
 
Huko ni kuishiwa akili! matatizo mengine sio sababu yakushindwa vyengine,inamaana wewe ukishindwaa kutekeleza kitu fulani kwa watoto wako ndio iwe sababu wakuombee mabaya..?
 
Huko ni kuishiwa akili! matatizo mengine sio sababu yakushindwa vyengine,inamaana wewe ukishindwaa kutekeleza kitu fulani kwa watoto wako ndio iwe sababu wakuombee mabaya..?
Unaongea ushetan gani wewe ni wale wale tu watekaji na Watu wenye roho mbya nakuombea yatakufika utanikumbuka
 
Taifa limekuwa la kutekana kuuwana huku tukijinasibu kuwa ss ni kisiwa cha amani, amani ipi? watu wanatekwa wanauwawa na kisha bado viongozi wanaongea porojo alfu wanakimbilia kwenye mipira kuficha ualifu wao na ushetani wao, sasa nasema taifa 🌟 ipigwe vzr magoli ya kutosha hadi tuwe na kauli moja kama taifa na viongozi wawajibike.

Sina raha kutazama Mpira huku sijui Hatma Ya watanzAnia wenzetu walio potezwa na dola wako wapi hyo hamu ya Mpira naitoa wapi? ni Kiwa na uzuni?

Mwenyenzi Mungu fanya lolote hii timu ifungwe na hata hizi simba na yanga viondolewe caf championship na confedaration hadi zote kwa pmj tuwe Salam na wenzetu warudi.
uhalifu!!! huzuni!!!
 
Taifa limekuwa la kutekana kuuwana huku tukijinasibu kuwa ss ni kisiwa cha amani, amani ipi? watu wanatekwa wanauwawa na kisha bado viongozi wanaongea porojo alfu wanakimbilia kwenye mipira kuficha ualifu wao na ushetani wao, sasa nasema taifa 🌟 ipigwe vzr magoli ya kutosha hadi tuwe na kauli moja kama taifa na viongozi wawajibike.

Sina raha kutazama Mpira huku sijui Hatma Ya watanzAnia wenzetu walio potezwa na dola wako wapi hyo hamu ya Mpira naitoa wapi? ni Kiwa na uzuni?

Mwenyenzi Mungu fanya lolote hii timu ifungwe na hata hizi simba na yanga viondolewe caf championship na confedaration hadi zote kwa pmj tuwe Salam na wenzetu warudi.
Naunga hoja mkono ,,,
 
Back
Top Bottom