Tulia kwanza mbona una haraka.Baada ya Barca kupewa kipigo heavy cha 3-0 sasa anondoka rasmi mashindanoni kwa Roma kuwa na faida ya goli 1 walilopata mechi ya kwanza.
Barcelona ni team hatari sana kwa Magiant wenzao wa Spain Real madrid na nina uhakika jiji la madrid kwa sasa ni furaha mno na hii itwapa morale Real madrid kufukuzia Zaidi huu ubingwa.
Kwa team zilizobaki mashindanoni Liverpool, Roma na uwezekano wa Bayern na kwa aina ya mpira wa Real madrid nathubutu kusema hawa jamaa nawaona wakibeba ubingwa tena.
Juve wanatisha wakiwa kwao, miaka ya nyuma kidogo, Juve alichezea kichapo heavy Bernabeu, lakini jamaa walipotua Turin tu, wakagongwa 4oclock na kuaga mashindano......Tulia kwanza mbona una haraka.
Kumbuka mpira unadunda, mechi ya Madrid na Juve bado haijachezwa, hivyo ni vema ukatunza akiba ya maneno.
Kombe la Bayern msimu huuBaada ya Barca kupewa kipigo heavy cha 3-0 sasa anondoka rasmi mashindanoni kwa Roma kuwa na faida ya goli 1 walilopata mechi ya kwanza.
Barcelona ni team hatari sana kwa Magiant wenzao wa Spain Real madrid na nina uhakika jiji la madrid kwa sasa ni furaha mno na hii itwapa morale Real madrid kufukuzia Zaidi huu ubingwa.
Kwa team zilizobaki mashindanoni Liverpool, Roma na uwezekano wa Bayern na kwa aina ya mpira wa Real madrid nathubutu kusema hawa jamaa nawaona wakibeba ubingwa tena.
Hapo kwa Roma sawa ila liver ndo mbabe kuliko huyo mancityHilo liko wazi,Liverpool na Roma wameisaidia Madrid kuifanya UCL kuwa nyepesi
Hana ubabe wowote huyo ni homa ya vipindi, kwenye ligi anachezeaga vipigo vya kutoshaHapo kwa Roma sawa ila liver ndo mbabe kuliko huyo mancity
Liverpool usiwachukulie poa kwa kuangalia trend yao ya miaka ya hivi karibuni. Usidhani kumtandika City 5-1 ni rahisi kihivyo. Kama Totenham alimtesa Madrid, why not Liverpool hii ya Mo Salah, Firmino na lile jitu la Senegal? Klop pia ni Tactician mzuri. Wakiingia finali Liverpool na Madrid, anything could happenHilo liko wazi,Liverpool na Roma wameisaidia Madrid kuifanya UCL kuwa nyepesi
Kua nyepesi eeeh,Liverpool ndie anachukua hili kombe hakuna cha madrid wala nini.Hilo liko wazi,Liverpool na Roma wameisaidia Madrid kuifanya UCL kuwa nyepesi