Naiona Simba na Azam zikiwa na safu bora mno za ushambuliaji

Naiona Simba na Azam zikiwa na safu bora mno za ushambuliaji

Smt016

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2016
Posts
3,012
Reaction score
4,300
Wakati sajili zinaenda kutamatika kwa timu mbalimbali, hadi sasa kwenye mpira wa kimtazamo ( mpira wa makaratasi) Simba na Azam wananda kuipa wakati mgumu Yanga kwenye mbio za ubingwa wa NBC na Azam Federation cup. Hakuna shaka kuwa msimu uliopita, Simba ndio timu yenye safu bora ya ushambuliaji na ulinzi, lakini pamoja na kuwa na safu bora ya ushambuliaji lakini bado wameongeza watu wa maana katika maeneo ya idara ya ushambuliaji..

Yanga mpaka sasa hakuna mshabiki yeyote anaweza kutamba kwa lolote, kwasababu bado kuna giza kubwa sana imetanda hasa kutokana na kuondoka kwa benchi nzima la ufundi na wachezaji kadhaa huku replacement zao haijulikani wataleta kipi.
Azam msimu huu wamesajili na wanaonesha wako serious kama ilivyo kwa Simba ambapo wao msimu uliopita ilikuwa na kikosi imara cha first eleven ila wakaponza na ufinyu wa wachezaji wenye quality katika substitution na wachezaji kutokuwa na mwendelezo wa viwango.

Hali naiona tofauti sana kwa msimu mpya Simba wameamua kuweka watu wengi wa kuuwasha moto, ni kazi ya kocha tu iliyobakia.
Wana Yanga wenzangu tunasubiria siku ya mwananchi ili tujue tutavuna kipi. Tumekuwa kama yatima sasa baada ya kuzoeshwa vibaya na Nabi kujiamini, sasa wale mashujaa wetu waliotufanya tutambe na turinge hawapo tena
 
Wakati sajili zinaenda kutamatika kwa timu mbalimbali, hadi sasa kwenye mpira wa kimtazamo ( mpira wa makaratasi) Simba na Azam wananda kuipa wakati mgumu Yanga kwenye mbio za ubingwa wa NBC na Azam Federation cup. Hakuna shaka kuwa msimu uliopita, Simba ndio timu yenye safu bora ya ushambuliaji na ulinzi, lakini pamoja na kuwa na safu bora ya ushambuliaji lakini bado wameongeza watu wa maana katika maeneo ya idara ya ushambuliaji..

Yanga mpaka sasa hakuna mshabiki yeyote anaweza kutamba kwa lolote, kwasababu bado kuna giza kubwa sana imetanda hasa kutokana na kuondoka kwa benchi nzima la ufundi na wachezaji kadhaa huku replacement zao haijulikani wataleta kipi.
Azam msimu huu wamesajili na wanaonesha wako serious kama ilivyo kwa Simba ambapo wao msimu uliopita ilikuwa na kikosi imara cha first eleven ila wakaponza na ufinyu wa wachezaji wenye quality katika substitution na wachezaji kutokuwa na mwendelezo wa viwango.

Hali naiona tofauti sana kwa msimu mpya Simba wameamua kuweka watu wengi wa kuuwasha moto, ni kazi ya kocha tu iliyobakia.
Wana Yanga wenzangu tunasubiria siku ya mwananchi ili tujue tutavuna kipi. Tumekuwa kama yatima sasa baada ya kuzoeshwa vibaya na Nabi kujiamini, sasa wale mashujaa wetu waliotufanya tutambe na turinge hawapo tena
Huu uchambuzi unakosa uhalisia na wa upande mmoja. Unasema msimu uliopita Simba ilikuwa na ulinzi na usambuliaji bora kabisa. Hii hoja ukiileta kwenye mizania kuwa Yanga alibeba makombe yote, inakuwa illogical na absurd.
Kuhusu wachezaji waliosajiliwa, sioni ni kipi kinakupa uhakika kuwa waliosajiliwa na Simba au Azam watafanya vizuri ukilinganisha na waliosajiliwa na Yanga. Wasiwasi kwa Yanga ni benchi jipya ambalo hatujajua litakuja na mfumo na mbinu gani.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Wakati sajili zinaenda kutamatika kwa timu mbalimbali, hadi sasa kwenye mpira wa kimtazamo ( mpira wa makaratasi) Simba na Azam wananda kuipa wakati mgumu Yanga kwenye mbio za ubingwa wa NBC na Azam Federation cup. Hakuna shaka kuwa msimu uliopita, Simba ndio timu yenye safu bora ya ushambuliaji na ulinzi, lakini pamoja na kuwa na safu bora ya ushambuliaji lakini bado wameongeza watu wa maana katika maeneo ya idara ya ushambuliaji..

Yanga mpaka sasa hakuna mshabiki yeyote anaweza kutamba kwa lolote, kwasababu bado kuna giza kubwa sana imetanda hasa kutokana na kuondoka kwa benchi nzima la ufundi na wachezaji kadhaa huku replacement zao haijulikani wataleta kipi.
Azam msimu huu wamesajili na wanaonesha wako serious kama ilivyo kwa Simba ambapo wao msimu uliopita ilikuwa na kikosi imara cha first eleven ila wakaponza na ufinyu wa wachezaji wenye quality katika substitution na wachezaji kutokuwa na mwendelezo wa viwango.

Hali naiona tofauti sana kwa msimu mpya Simba wameamua kuweka watu wengi wa kuuwasha moto, ni kazi ya kocha tu iliyobakia.
Wana Yanga wenzangu tunasubiria siku ya mwananchi ili tujue tutavuna kipi. Tumekuwa kama yatima sasa baada ya kuzoeshwa vibaya na Nabi kujiamini, sasa wale mashujaa wetu waliotufanya tutambe na turinge hawapo tena
Huo ni mtazamo wako tu, ila kwangu mimi vice versa may be true. Tusubiri muda utaongea
 
Wakati sajili zinaenda kutamatika kwa timu mbalimbali, hadi sasa kwenye mpira wa kimtazamo ( mpira wa makaratasi) Simba na Azam wananda kuipa wakati mgumu Yanga kwenye mbio za ubingwa wa NBC na Azam Federation cup. Hakuna shaka kuwa msimu uliopita, Simba ndio timu yenye safu bora ya ushambuliaji na ulinzi, lakini pamoja na kuwa na safu bora ya ushambuliaji lakini bado wameongeza watu wa maana katika maeneo ya idara ya ushambuliaji..

Yanga mpaka sasa hakuna mshabiki yeyote anaweza kutamba kwa lolote, kwasababu bado kuna giza kubwa sana imetanda hasa kutokana na kuondoka kwa benchi nzima la ufundi na wachezaji kadhaa huku replacement zao haijulikani wataleta kipi.
Azam msimu huu wamesajili na wanaonesha wako serious kama ilivyo kwa Simba ambapo wao msimu uliopita ilikuwa na kikosi imara cha first eleven ila wakaponza na ufinyu wa wachezaji wenye quality katika substitution na wachezaji kutokuwa na mwendelezo wa viwango.

Hali naiona tofauti sana kwa msimu mpya Simba wameamua kuweka watu wengi wa kuuwasha moto, ni kazi ya kocha tu iliyobakia.
Wana Yanga wenzangu tunasubiria siku ya mwananchi ili tujue tutavuna kipi. Tumekuwa kama yatima sasa baada ya kuzoeshwa vibaya na Nabi kujiamini, sasa wale mashujaa wetu waliotufanya tutambe na turinge hawapo tena
Time will tell" Bob Marley
 
Huu uchambuzi unakosa uhalisia na wa upande mmoja. Unasema msimu uliopita Simba ilikuwa na ulinzi na usambuliaji bora kabisa. Hii hoja ukiileta kwenye mizania kuwa Yanga alibeba makombe yote, inakuwa illogical na absurd.
Kuhusu wachezaji waliosajiliwa, sioni ni kipi kinakupa uhakika kuwa waliosajiliwa na Simba au Azam watafanya vizuri ukilinganisha na waliosajiliwa na Yanga. Wasiwasi kwa Yanga ni benchi jipya ambalo hatujajua litakuja na mfumo na mbinu gani.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Kwanini yanga alibeba ubingwa mbele ya Simba? Nilishaliongelea hilo mkuu.
Yanga ilibebwa na kikosi kipana, Simba ilikuwa na kikosi tu cha kwanza na pia wachezaji walikosa muendelezo (consistency) kutokana na kutumika kwa kila mechi. Ukichukua first eleven ya Simba ya msimu uliopita ukailinganisha dhidi ya Yanga, utaona Simba ikitamba.

Kuhusu usajili, kwanza tutambue kuwa usajili ulio bora zaidi ni ule wa kubakisha wachezaji wako muhimu, Simba na Azam wote kwa pamoja wameweza kubakisha wachezaji wao waliowaona wana staili kubakia lakini stori ni tofauti kwa Yanga. Mayele ambaye alikuwa ni msaada mkubwa kwa timu anataka kuondoka. Na kama wachezaji muhimu zaidi ya watatu wataondoka ina maana project inaanza na upya ya kuunda tena timu maana wanaochukua nafasi wanaweza wakafit au wasifit.
Simba na Azam hawakuondokewa na wachezaji wao muhimu bali wameboresha kikosi.
 
Kwanini yanga alibeba ubingwa mbele ya Simba? Nilishaliongelea hilo mkuu.
Yanga ilibebwa na kikosi kipana, Simba ilikuwa na kikosi tu cha kwanza na pia wachezaji walikosa muendelezo (consistency) kutokana na kutumika kwa kila mechi. Ukichukua first eleven ya Simba ya msimu uliopita ukailinganisha dhidi ya Yanga, utaona Simba ikitamba.

Kuhusu usajili, kwanza tutambue kuwa usajili ulio bora zaidi ni ule wa kubakisha wachezaji wako muhimu, Simba na Azam wote kwa pamoja wameweza kubakisha wachezaji wao waliowaona wana staili kubakia lakini stori ni tofauti kwa Yanga. Mayele ambaye alikuwa ni msaada mkubwa kwa timu anataka kuondoka. Na kama wachezaji muhimu zaidi ya watatu wataondoka ina maana project inaanza na upya ya kuunda tena timu maana wanaochukua nafasi wanaweza wakafit au wasifit.
Simba na Azam hawakuondokewa na wachezaji wao muhimu bali wameboresha kikosi.
Mchezaji ambaye akiondoka tunaweza kujiuliza ni Mayele. Hata yeye, ukiangalia nafasi anazopata na anazofunga, unaweza ona kuwa pengine kuna mtu mwingine ambaye angeweza kukupa kitu cha zaidi.
Shaaban Dyuma kuondoka ni sawa, mwishoni alikosa fitness ya mchezo, naamini mbadala wake ni bora zaidi. Hivyo, bado ni mapema kutabiri chochote.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Mchezaji ambaye akiondoka tunaweza kujiuliza ni Mayele. Hata yeye, ukiangalia nafasi anazopata na anazofunga, unaweza ona kuwa pengine kuna mtu mwingine ambaye angeweza kukupa kitu cha zaidi.
Shaaban Dyuma kuondoka ni sawa, mwishoni alikosa fitness ya mchezo, naamini mbadala wake ni bora zaidi. Hivyo, bado ni mapema kutabiri chochote.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app

Mkuu vipi kuhusu Bangala, Aucho na kipa Diarra? Tetesi za kuondoka zina ukweli ama.
 
Wakati sajili zinaenda kutamatika kwa timu mbalimbali, hadi sasa kwenye mpira wa kimtazamo ( mpira wa makaratasi) Simba na Azam wananda kuipa wakati mgumu Yanga kwenye mbio za ubingwa wa NBC na Azam Federation cup. Hakuna shaka kuwa msimu uliopita, Simba ndio timu yenye safu bora ya ushambuliaji na ulinzi, lakini pamoja na kuwa na safu bora ya ushambuliaji lakini bado wameongeza watu wa maana katika maeneo ya idara ya ushambuliaji..

Yanga mpaka sasa hakuna mshabiki yeyote anaweza kutamba kwa lolote, kwasababu bado kuna giza kubwa sana imetanda hasa kutokana na kuondoka kwa benchi nzima la ufundi na wachezaji kadhaa huku replacement zao haijulikani wataleta kipi.
Azam msimu huu wamesajili na wanaonesha wako serious kama ilivyo kwa Simba ambapo wao msimu uliopita ilikuwa na kikosi imara cha first eleven ila wakaponza na ufinyu wa wachezaji wenye quality katika substitution na wachezaji kutokuwa na mwendelezo wa viwango.

Hali naiona tofauti sana kwa msimu mpya Simba wameamua kuweka watu wengi wa kuuwasha moto, ni kazi ya kocha tu iliyobakia.
Wana Yanga wenzangu tunasubiria siku ya mwananchi ili tujue tutavuna kipi. Tumekuwa kama yatima sasa baada ya kuzoeshwa vibaya na Nabi kujiamini, sasa wale mashujaa wetu waliotufanya tutambe na turinge hawapo tena
kuna giza yanga?kha unamjua max nzengeli?unamjua skudu?kuna talent tanzania kama schudu? musonda unamjua?

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Huu uchambuzi unakosa uhalisia na wa upande mmoja. Unasema msimu uliopita Simba ilikuwa na ulinzi na usambuliaji bora kabisa. Hii hoja ukiileta kwenye mizania kuwa Yanga alibeba makombe yote, inakuwa illogical na absurd.
Kuhusu wachezaji waliosajiliwa, sioni ni kipi kinakupa uhakika kuwa waliosajiliwa na Simba au Azam watafanya vizuri ukilinganisha na waliosajiliwa na Yanga. Wasiwasi kwa Yanga ni benchi jipya ambalo hatujajua litakuja na mfumo na mbinu gani.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Kubeba kombe kunahusisha points ulizokusanya kutokana idadi ya mechi ulizoshinda au kusuluhu.

V/s

Uchambuzi (analysis) ya safu bora ya ushambuliaji au ulinzi inatokana na idadi ya magoli uliyofunga au uliyofungwa.

Hivi vitu viwili hapo juu sio lazima viende sawa.
 
Back
Top Bottom