Naiona Simba SC ikifungwa na Coastal Union

Naiona Simba SC ikifungwa na Coastal Union

Nikiongea kiuchambuzi bila upendeleo wowote naweza kusema Simba kuotewa na kufungwa na timu mbovu kama Yanga haimaanishi kila timu mbovu itaweza kuifunga simba
Ukiwa kolo lazima unakuwa mbumbumbu sijui kwanini..,yaani mechi ya 3 mfululuzo unashonwa alafu unaleta ngojera hapa.

Karudie ile mechi ya juzi alafu uje useme goli ngapi mlipigwa/ingizwa na nyny mlifunga ngapi.
 
Kama coastal iliweza kupata goli mbili kwenye mechi na Azam basi kesho tusishangae kuona Simba ikifungwa tena na wana mangushi.

Wazee wa mikeka muuweni Simba, muuweni Azam mtakuja kunishukuru kesho.
Kwanini unavuta bangi asubuhi!?
 
Coastal hawawezi defence Yao imekuwa unga sana na kiungo ya kina Gwalala na yule dogo nyepesi sana ku battle na kikosi Cha matengenezo Cha wafuasi wa Ahmed Ally
Upo sahihi na ile mechi dhidi ya Azam kipa aliyepangwa hayupo sharp na kachangia kikubwa kufungwa kwa Coastal sijui Matampi yuko wapi.
 
Kama coastal iliweza kupata goli mbili kwenye mechi na Azam basi kesho tusishangae kuona Simba ikifungwa tena na wana mangushi.

Wazee wa mikeka muuweni Simba, muuweni Azam mtakuja kunishukuru kesho.
Nyie endeleeni kucheza kamari tu,IMANI ya JOKER hiyo!
🤑
 
Simba ni tofauti na Azam, Azam wanatengeneza nafasi, Sasa Simba asijekuona coast kafungwa Tano akajua nayeye atafunga Tano wakati timu haitengenezi nafasi,
Kwa hiyo Azam atatengeneza pia nafasi dhidi ya Yanga, au huo ulinganifu unaoufanya ni dhidi ya Simba tu?
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Kama coastal iliweza kupata goli mbili kwenye mechi na Azam basi kesho tusishangae kuona Simba ikifungwa tena na wana mangushi.

Wazee wa mikeka muuweni Simba, muuweni Azam mtakuja kunishukuru kesho.
Akili huna
 
Coastal hawawezi defence Yao imekuwa unga sana na kiungo ya kina Gwalala na yule dogo nyepesi sana ku battle na kikosi Cha matengenezo Cha wafuasi wa Ahmed Ally
Kama unadhani coastal ya msimu huu ni nyepesi basi subiri kesho nakuhakikishia utabaki mdomo wazi.

Tulio angalia mechi ya costal na azam ni kwamba azam licha ya uwekezaji mkubwa waliperekeshwa vibaya mno

Beki za azam zilikuwa kama za mtibwa sugar

Kilichoiponza costal kipa wao rey matampi hakuwepo yule kipa wa sasa akawa anafungwa magoli mepesi ila azam cha moto walikiona

Pia kocha wa costal ni kocha haswa jamaa anausoma mchezo na kubadiri upepo kwa kasi

Azam wqlianza kwa kasi jamaa akawasoma fasta akawabadirishia mbinu mpira ukawa wa moto vibaya mno
 
Back
Top Bottom