Naipenda sana UDOM, Nina ndoto za kufika UDOM, nisaidieni Jamani"

Naipenda sana UDOM, Nina ndoto za kufika UDOM, nisaidieni Jamani"

AdvocateFi

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
11,492
Reaction score
5,047
Kiukwel japo nimekuwa nikisoma comments za wadau wa humu JF ambazo zimebase kuiponda na kuipaka matope UDOM lakin mm mdogo wenu ninaipenda sana UDOM na nina ndoto siku 1 nifike hapo kwa kusoma, nimemalza kidato cha 4 mwaka huu lakin matokeo si mazuri ya kuridhisha kusoma A,Level, Je ninaweza kusoma hata Diploma na mwisho wa siku nikakubaliwa kujiunga na UDOM kwa ngazi ya degree? Maana nimesikia kuwa ukisoma Diploma huwez kujiunga na chuo mpaka uwe umepitia A, Level.

Mungu na Allah awabariki.
 
Duuh ni kitu gani special kimefanya uipende kiasi hicho au majengo meupe yale??Anyway,unaweza kuingia kama una diploma.Kila la heri dogo,mi nimetoka huko mwakajuzi
 
kaza buti dogo.kuingia UDOM ni qualification zako tu.acha uzembe piga kitabu.diploma zenyewe zina grade so ukiwa na dip ya kipuuzi bado udom utaisikia na kuiona tu.GOD BLESS YOU.
 
Kiukwel japo nimekuwa nikisoma comments za wadau wa humu JF ambazo zimebase kuiponda na kuipaka matope UDOM lakin mm mdogo wenu ninaipenda sana UDOM na nina ndoto siku 1 nifike hapo kwa kusoma, nimemalza kidato cha 4 mwaka huu lakin matokeo si mazuri ya kuridhisha kusoma A,Level, Je ninaweza kusoma hata Diploma na mwisho wa siku nikakubaliwa kujiunga na UDOM kwa ngazi ya degree? Maana nimesikia kuwa ukisoma Diploma huwez kujiunga na chuo mpaka uwe umepitia A, Level.

Mungu na Allah awabariki.

Wakati wengine wana ndoto za kufika Chuo kikuu, wewe unataka kwenda UDOM?
 
vyuo 100 bora Africa
UDOM google searching.......
server reply.. not found
UDSM google searching.....
server reply ..cha 3
 
vyuo 100 bora Africa
UDOM google searching.......
server reply.. not found
UDSM google searching.....
server reply ..cha 3

Ha ha ha kumbe hadi leo bado watu wenye mawazo mgando mpo? Sasa UDSM kuwa kwenye top 100 za Africa anaisaidia nini nchi? Au inaongeza nini kwa wanainchi masikini Acha ulilaza wewe chuo hakimpi mtu competence bali juhudi zake binafsi......
 
Hapana kaka. Ulichosikia si kweli.
Sio lazima upitie A-Level ndio uingie chuo kikuu. Ata ukisoma diploma chuo kikuu unafika brou.
Wengi wanatoka Diploma wanasoma Vyuoni, tena taaluma tofauti kabisa na zile walizosoma Diploma.
We kaza tu, nothing is impossible.
Make sure ndoto zako zinakuja kua true, achana na hao NdalaNdefu wanaokukatisha tamaa.

Karibu UDOM
 
vyuo 100 bora Africa
UDOM google searching.......
server reply.. not found
UDSM google searching.....
server reply ..cha 3

hii inamsaidia kijana anayetaka ushauri wa namna ya kufika kusoma University of Dodoma? ameuliza rank ya chuo?
 
Hapana kaka. Ulichosikia si kweli.
Sio lazima upitie A-Level ndio uingie chuo kikuu. Ata ukisoma diploma chuo kikuu unafika brou.
Wengi wanatoka Diploma wanasoma Vyuoni, tena taaluma tofauti kabisa na zile walizosoma Diploma.
We kaza tu, nothing is impossible.
Make sure ndoto zako zinakuja kua true, achana na hao NdalaNdefu wanaokukatisha tamaa.

Karibu UDOM

Naona unanitafuta ubaya wewe!
 
achana na hao NdalaNdefu wanaokukatisha tamaa.

Karibu UDOM[/QUOTE]

Naona unanitafuta ubaya wewe!
 
Back
Top Bottom