Simba imejaa wapigaji wa mijini, imejaa aina ya watu ambao kwenye siasa ndio wanaopiga madili makubwa kama vile ESCROW na EPA. Ni vigumu kupiga hatua kwa sababu kila mtu anataka awe na sauti ndani ya klabu.
Yanga wamempa uhuru Manji na anafanya kazi kisomi, haingilii majukumu asiyoyafahamu, kocha Hans Pluijm kapewa uhuru na anafanya kazi ya maana. Naona kama andiko hili ni la kujifariji pekee, halina changamoto kwa wanasimba.