Naipongeza serikali sikivu kwa kunipatia mkopo wa elimu ya juu

Naipongeza serikali sikivu kwa kunipatia mkopo wa elimu ya juu

NTWA MWIKEMO

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2014
Posts
734
Reaction score
366
serikali sikivu , imeweka kwenye orodha ya waliopata mkopo ,ingawa kozi niliyoiomba ni Non priority , ambayo ni Bcom in HR UDSM . 4that thanks .
 
kwa ambaye hajapata mkopo asemeje au kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe!!kumbuka mkopo ni halali yako...
 
Kuerekea kwenye uchuguzi mkuu 2015, kutatokea ajila za kila aina

ona huyu jamaa eti naye anajidai anasoma elimu ya juu na anaipongeza serikali ya kifisadi kuwa ni sikivu, please mods pelekeni uzi huu kwenye jukwaa la siasa
 
...maliza chuo uje mtaani,uanzishe kampuni ya hr maana serikali sikivu haijui maana ya neno ajira kwa wahitimu...
 
Hamna cha usikivu, ni haki yako, na pia ni mkopo!

...........................................)
sorry kama nimekukwaza kuipongeza serikali yangu ila hata Bilbe inasema asiyekuwa na shukrani kwa kidodo alichopewa hata kingi akipewa atakuwa anaishia kwenye lawama .4myside nasema serikali imeisha nitendea haki kwani kati ya waliopata nami nimeonwa . Na kwa wale ambao hawajapata , poleni lakini Serikali sikivu najua tu itawawezesha kwa namna moja ama nyingine. mungu ibariki Tanzania , Kibariki chuo cvhangu cha UDSM na uongozi wake na pia TCU na loan board. Have a nice comment in any kindly idea
 
...........................................)
sorry kama nimekukwaza kuipongeza serikali yangu ila hata Bilbe inasema asiyekuwa na shukrani kwa kidodo alichopewa hata kingi akipewa atakuwa anaishia kwenye lawama .4myside nasema serikali imeisha nitendea haki kwani kati ya waliopata nami nimeonwa . Na kwa wale ambao hawajapata , poleni lakini Serikali sikivu najua tu itawawezesha kwa namna moja ama nyingine. mungu ibariki Tanzania , Kibariki chuo cvhangu cha UDSM na uongozi wake na pia TCU na loan board. Have a nice comment in any kindly idea


:A S check_03:
 
Back
Top Bottom