Nairobi Commuter Rail Phase 1 Progress

Tunatumia asilimia moja na tunalisha karibia nchi zote zilizotuzunguka kenya failed state ikiwemo,

Tunatumia asilimia moja na tumefanikiwa pakubwa kupambana na corona huku failed state kenya ikiwa haielewi nini cha kufanya.
Pia tunatumia asilimia moja ku finance miradi yetu mingi kwa pesa za ndani wao wanaotumia asilimia 100 wamegeuka makahaba wa kujiuza ndo wapewe pesa za kufanya miradi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mpuuzi tu huyu anaokota okota vipicha Google anakuja kulinganisha humu the real middle Income na ushuzi wa middle Income [emoji3][emoji3][emoji3]
Ameshindwa kuthibitisha [emoji23][emoji23][emoji23]

-Ego
-Denial stage
-Ujinga
-Stress.
 
Tunatumia asilimia moja na tunalisha karibia nchi zote zilizotuzunguka kenya failed state ikiwemo,

Tunatumia asilimia moja na tumefanikiwa pakubwa kupambana na corona huku failed state kenya ikiwa haielewi nini cha kufanya.
Ati mmepambana na corona? Is testing paw paw and goats ni kupambana na corona? So mmeshinda US and other advanced nations juu mlipima mbuzi?
 
Look at this fool, kwani tulikuwa tunashindana? Sikujua. But siezishiondana na drug dealer, rapist, sorcerer, albino killing machine and low IQ dwarfs.
Yah ww huwez shinda mTz yyte humu kwa hoja cz una mihemko mno, kwa mfano mmeanzisha mada tukawaacha na mada yenu ya kujifariji lkn ww kwa mihemko yako ukaanza kutaja taja Tz ndo mana tumekuja kukuinamisha humu [emoji3][emoji3]
 
Pia tunatumia asilimia moja ku finance miradi yetu mingi kwa pesa za ndani wao wanaotumia asilimia 100 wamegeuka makahaba wa kujiuza ndo wapewe pesa za kufanya miradi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wanatumia asilimia mia wakati serikali yao inaingia mikataba ya ovyo na wachina na hakuna kitu watawaambia wachina,

Wanatumia asilimia mia wanabaguana kisa makabila [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pia tunatumia asilimia moja ku finance miradi yetu mingi kwa pesa za ndani wao wanaotumia asilimia 100 wamegeuka makahaba wa kujiuza ndo wapewe pesa za kufanya miradi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Miradi gani? Si umeshindwa kutaja miradi mmejenga na pesa zenu. Kama choo tu hamuezijenga kwa pesa za ndani, sasa ni miradi gani hizo mtafund?
 
Ati mmepambana na corona? Is testing paw paw and goats ni kupambana na corona? So mmeshinda US and other advanced nations juu mlipima mbuzi?
US bwana wenu akiwaambia chochote huwa mnakubali hata kama hakifai,

Kwamba advanced nations zikishindwa inakuwa inatakiwa Tanzania nayo ishindwe [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hapa ndipo Africa tulipofika!
 
US bwana wenu akiwaambia chochote huwa mnakubali hata kama hakifai,

Kwamba advanced nation zikishindwa inakuwa inatakiwa Tanzania nayo ishindwe [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hapa ndipo Africa tulipofika!
Kwani advanced nations walipima mbuzi? Walipima mafuta?
 

Hivi hiki kipeperushi unachokipost kila mara umekielewa kweli? Unaelewa maana ya Treasury grant? Unadhani pesa hiyo inakuwa imetoka wapi?.. Hebu jiongeze hapo ulipo crop kwa kukata maandishi achilia line tatu tu za sentensi then tuone..

Early this month twelve local authorities received funding amounting to 137.38 billions from the Government... uache ufala na kujidhalilisha hapa.
 
Usipate tabu mkuu nshamalizana naye huyo dada so mpuuze tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…