Ukisha kua na dhamira safi Mungu anatia mono, kila sehemu Tz ikigusa majirani wana kubali. Siyo dhamira za kishetani kama CoW lazima uta fail tuHebu tunawaomba tujikumbushe
Rwanda Rwanda Rwanda Rwanda Rwanda. Wacha makelele. Rwanda is an $8 Billion economy. That is half of our budget. Endelea kupiga mdomo.
Hako kaRwanda ndio wanashinda wanatupigia makelele usiku na mchana hata unaeza dhani Rwanda ni gamechanger kumbe Aliko Dangote na hiyo $14 billion yake, anaeza nunua Rwanda na Abaki na change. Rwanda ni nchi ndogo sana. Napenda wanawake wao lakini ukweli lazima isemwe.Mombasa alone is over 14b
Sasa wewe kama mtanzania kuna mtu atabisha mlango kwako akuambie utuchangie ?pilipilu usioila mbona yawasha mku*du wako. .. ....nenda ukaambie wenza kwenye trillion 1.5 kwenye zilienda tuache na ya kwetu......na bandar ya mwanza na portbell ya uganda itafanya kua cheap zaidi na mm nakwambia hilo deni will take kenya 50yrs to pay itππππ yani deni limejaa ufisadi ndani
rudi hapa mkishapata sgr *****ππSasa wewe unaongelea Kisumu. Sisi "tutakuwa"Tuki"ππππππππππππππ tunafikisha Mawanza ikibidi Portbell cause meli ya umoja imeshatengenezwa
Distance ya kisumu ni mbali sana. Pili kuhusu Rwanda msahau cause Kagame he is not interested with that route
Nilichosikia kika nifurahisha, "As they are saying look at the cost ! If your going to make better money through the Southern route who said we should import through Mombasa ? "ππ Meaning the Southern Route is cheaper compared to the Northern Route once Portbell goes to action.πππ. Kunauwezakano mtu kuachwa na maturana..Hebu tunawaomba tujikumbushe
Kazi ya Portbell tunaanza na Metergage iliyopo. Tukija SGR kufika Mwanza mtalia machozi. 90% ya bidhaa zitapita Dar Portπππrudi hapa mkishapata sgr *****ππ
We cannot fight ove ababy antelope as if it's a full grown Elephant... Tutawachia wajichoche nayo.Hako kaRwanda ndio wanashinda wanatupigia makelele usiku na mchana hata unaeza dhani Rwanda ni gamechanger kumbe Aliko Dangote na hiyo $14 billion yake, anaeza nunua Rwanda na Abaki na change. Rwanda ni nchi ndogo sana. Napenda wanawake wao lakini ukweli lazima isemwe.
hahaha kisa kuambiwa ukweli kua mutasota na deni la SGR 50yrsππππ mwanaume mzima unapandwa na hasira hehehe trillion 1.5 zimefanya kazi kubwa sana ndio maana unaona leo tunakusumbueniππSasa wewe kama mtanzania kuna mtu atabisha mlango kwako akuambie utuchangie ?pilipilu usioila mbona yawasha mku*du wako. .. ....nenda ukaambie wenza kwenye trillion 1.5 kwenye zilienda tuache na ya kwetu......
aisee hapo kwa tu-ki ndio kuna issue!Kazi ya Portbell tunaanza na Metergage iliyopo. Tukija SGR kufika Mwanza mtalia machozi. 90% ya bidhaa zitapita Dar Portπππ
Thus why nikasema tunaanza na metergage. SGR ipo inajengwa. Tuliza mshonoaisee hapo kwa tu-ki ndio kuna issue!
hizi ngeli vipi mtaziwacha lini??
Tuna, tuki unitag mkipata iyo portbell unitag ila kwa sasa mimi sitajadili mradi hewa na weweπππππππKazi ya Portbell tunaanza na Metergage iliyopo. Tukija SGR kufika Mwanza mtalia machozi. 90% ya bidhaa zitapita Dar Portπππ
Sasa ngoja basi tuone tukisota mimi sitabishana na wewehahaha kisa kuambiwa ukweli kua mutasota na deni la SGR 50yrsππππ mwanaume mzima unapandwa na hasira hehehe trillion 1.5 zimefanya kazi kubwa sana ndio maana unaona leo tunakusumbueniππ
Tuki, tuki, wapi kiba atutolee ngoma basi juu i choir ni tamu aiseeKazi ya Portbell tunaanza na Metergage iliyopo. Tukija SGR kufika Mwanza mtalia machozi. 90% ya bidhaa zitapita Dar Portπππ
portbell ni ya uganda sisi ndio tunawarekebishia reli yao 9km from port bell to kampala ambayo watakua wanapokea mzigo kutoka mwanza ππππ akili inakaa kichwani sio kwenye makalioππTuna, tuki unitag mkipata iyo portbell unitag ila kwa sasa mimi sitajadili mradi hewa na weweπππππππ
huwezi kwasababu huna hoja ya kubishanaππππππSasa ngoja basi tuone tukisota mimi sitabishana na wewe
Ngoja nianze kutag vizuriππ Kuanzia May mwaka huu Portbell inaanza kazi kwa kutumia meter gage. Unaambiwa garama yake ya kusafirisha mizigo pia itakuwa chini. ππ Hapa sasa SGR haijafika Mwanza mambo ni moto, je itapo fika ?? ππ Angalia YouTube video hadi mwisho kwa mbele kuna kingerezaππTuna, tuki unitag mkipata iyo portbell unitag ila kwa sasa mimi sitajadili mradi hewa na weweπππππππ