NAIROBI ICD (INLAND CONTAINER DEPORT) INLAND PORT

Sammuel999

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2016
Posts
3,481
Reaction score
2,347
Sgr is Giving massively
2ports
Kisumu
Nairobi
116 stations
1565km SGR rail
465km of which will be electrified by 2019

Anyway
Cranes Destined for Nairobi Inland port have just been dismantled in China and being prepared for shipping to kenya

Nairobi inland port will Be The largest in Africa

Solely because most south african ports are Next to the sea

Well after Durban port
Mombasa is the second largest in Sub sahara

Cranes and Heavy trucks to be used in Nairobi ICD Being prepared for shipment to Kenya
 
Kenyatta na mabangi yake lakini anafanya kweli.

Tatizo kubwa la Kenya ni kuwa Wakenya wengi ni wezi sana.
 
Kenyatta na mabangi yake lakini anafanya kweli.

Tatizo kubwa la Kenya ni kuwa Wakenya wengi ni wezi sana.

Tuwachie mvuta bangi wetu aise, ule mzee wa mapush ups na masifa hajambo? Kwa kuwa apparently nyie sio wezi, na hizo rasilimali zote Tanzania imebarikiwa nazo, mbona huwa mnakuja wa pili baada ya kenya kwenye kila jambo, si uchumi, ukusanyaji wa kodi, infrastructure na kadhalika. Hivi media yenyu ikifagia kila jambo mvunguni na kuwadanganya nyie sio wezi ilhali nchi ishauzwa zamani ni kwa faida ya nani, mabwenyenye ama Mtanzania?
 

Haerewi huyoo.... lol! I meant haelewi.
 
Kenyatta na mabangi yake lakini anafanya kweli.

Tatizo kubwa la Kenya ni kuwa Wakenya wengi ni wezi sana.
Naskia mlikuwa mwasema eti huwa ywajifukiza hiyo bangi kama ubani [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji817] [emoji817].
Iyo ni kali.
 
Kenyatta na mabangi yake lakini anafanya kweli.

Tatizo kubwa la Kenya ni kuwa Wakenya wengi ni wezi sana.
Na alisema kama mtu anataka kuiba aibe lakini akishikwa asililie watu [emoji108]
 
Dah mi mtanzania maneno yameniuma sana kaongea ukwel sijui ametoa wapi ebu punguza maneno hayo yanachoma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…