Nairobi kaa kado jionee dogo wa Dar walivyo Bobea kwa Technologia!

Nairobi kaa kado jionee dogo wa Dar walivyo Bobea kwa Technologia!

Mkikuyu- Akili timamu

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
4,310
Reaction score
7,465
Duuh,
Kuna sura nyingine ya Dar ambayo hatuonyeshwi hadharani..Dogo hapa wamejituma kwa Technologia kinyama..
Walivyo wa siri hawa wenzetu wa bongo, hatujui kama dogo wao wanaunda vifaa vya nuclear!
Tena sikiza Ki- English chao wanavyo kitoa na pua..Aisee!

 
Duuh,
Kuna sura nyingine ya Dar ambayo hatuonyeshwi hadharani..Dogo hapa wamejituma kwa Technologia kinyama..
Walivyo wa siri hawa wenzetu wa bongo, hatujui kama dogo wao wanaunda vifaa vya nuclear!
Tena sikiza Ki- English chao wanavyo kitoa na pua..Aisee!

Wewe bado u still wish to be kenyan, the guys are superb though
 
Ndaganyi ass has finally accepted to join ONA(One network area) of east africans countries. Meaning tariff of communication within the region is one.
Taqbril mama funuwa wote bongo.
 
Duuh,
Kuna sura nyingine ya Dar ambayo hatuonyeshwi hadharani..Dogo hapa wamejituma kwa Technologia kinyama..
Walivyo wa siri hawa wenzetu wa bongo, hatujui kama dogo wao wanaunda vifaa vya nuclear!
Tena sikiza Ki- English chao wanavyo kitoa na pua..Aisee!


Nimetafuta sana kuona vifaa vya nuclear katika hio video yako lakini sijaona.
 
Nani unakumbuka akisema kwenye uzi flani kwamba yeye anatoka 'thedegua'? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Google Earth jamani!!
Mzee kaniacha hoi aisee, jamani mpka namuonea huruma..yani hyo habari ilivyoandikwa mpka nikajikuta nimeangua kicheko mwnywe km chizi vile hadi washkaji wakaniulizia nn mbya..
 
Huyu ni mkenya tena Mkikuyu hiyo "kado" badala ya "kando" naiskia kwa Wakikuyu!
Mkikuyu aliyeathirika na lugh aya mama hawezi kosea neno "kado" alafu "dogo" akaandikia vizuri kihvo acha utetezi wa kivala..
Hapo kw ki-english ndio kaniacha hoi kabia[emoji1787][emoji1787]
 
Duuh,
Kuna sura nyingine ya Dar ambayo hatuonyeshwi hadharani..Dogo hapa wamejituma kwa Technologia kinyama..
Walivyo wa siri hawa wenzetu wa bongo, hatujui kama dogo wao wanaunda vifaa vya nuclear!
Tena sikiza Ki- English chao wanavyo kitoa na pua..Aisee!



Hongera kwao hawa watoto. Haya ndiyo mambo ya kufanya. Tukipata vijana wengi wa aina hii kote kote, Tanzania itapiga hatua, Afrika Mashariki itasitawi ba Afrika kwa ujumla wake itaimarika kiuchumi.

Lkn ninachoshangaa, wachangiaji wote waliowengi wamenaswa na mtego wa kumshambulia au kumjadili mtoa mada Mkikuyu- Akili timamu, badala ya mada aliyoileta mbele yetu.
 
Duuh,
Kuna sura nyingine ya Dar ambayo hatuonyeshwi hadharani..Dogo hapa wamejituma kwa Technologia kinyama..
Walivyo wa siri hawa wenzetu wa bongo, hatujui kama dogo wao wanaunda vifaa vya nuclear!
Tena sikiza Ki- English chao wanavyo kitoa na pua..Aisee!

Jamaa alisomea kenya, USIU Alumni
 
Duuh,
Kuna sura nyingine ya Dar ambayo hatuonyeshwi hadharani..Dogo hapa wamejituma kwa Technologia kinyama..
Walivyo wa siri hawa wenzetu wa bongo, hatujui kama dogo wao wanaunda vifaa vya nuclear!
Tena sikiza Ki- English chao wanavyo kitoa na pua..Aisee!


sikiliza pronounciation hiyo..."prekovidi days"!, "rastyear"!, "significountry"! "pranted"!, "liching"!

 
Huyu mwache tu hivo, few can stand next to him in what he has achieved na hio kizungu yake ya muranga
Ila ni ugonjwa yaani jamaa kasoma all the way mpaka chuo still can not manage to pronounce simple english words! At least he can afford a pronounciation translator!
 
Ila ni ugonjwa yaani jamaa kasoma all the way mpaka chuo still can not manage to pronounce simple english words! At least he can afford a pronounciation translator!
Kiraitu is a havard graduate, but a typical meru with a very heavy accent, an african will remain to be an african especially those from the 60's to 80's, there are those that can switch accents and those that even never try,young generation ndio we care with accents i.e. this akorino guy

 
Kiraitu is a havard graduate, but a typical meru with a very heavy accent, an african will remain to be an african especially those from the 60's to 80's, there are those that can switch accents and those that even never try,young generation ndio we care with accents i.e. this akorino guy


accent imempa Larry Madowo kazi tena akiwa hata degree hana!
 
Back
Top Bottom