Kenya 2022 Nairobi: Karani aumbuliwa kwa kumpa mpiga kura mmoja karatasi 4 za mwaniaji Ubunge

Kenya 2022 Nairobi: Karani aumbuliwa kwa kumpa mpiga kura mmoja karatasi 4 za mwaniaji Ubunge

Kenya 2022 General Election

Kikwajuni One

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2013
Posts
13,149
Reaction score
6,994
Karani wa uchaguzi katika eneo bunge la Dagoretti Kaskazini, Kaunti ya Nairobi, alikabili ghadhabu za wapiga kura walioshutumu kwa udanganyifu katika uchaguzi.

Afisa huyo anadaiwa kumpa mpiga kura karatasi nne za kupigia kura za nafasi ya Mbuge katika kituo cha shule ya Msingi ya Gatina.

Wapiga kura wengine walipata taarifa za matukio hayo na wakamrukia papo hapo wakimpa kichapo cha mbwa mwizi.
 
Back
Top Bottom