Nairobi: kujisaidia kwenye Mifuko ya Plastiki, PeePoo.

Nairobi: kujisaidia kwenye Mifuko ya Plastiki, PeePoo.

game over

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2016
Posts
10,727
Reaction score
24,840
Maudhui ya Video hii huenda isiwavutie wengine,

Kutana na Mama Jasiri anaefanya kazi ya kukusanya mifuko yenye Haja
 
Maudhui ya Video hii huenda isiwavutie wengine,

Kutana na Mama Jasiri anaefanya kazi ya kukusanya mifuko yenye Haja

Hii ni solution muzuri sana But inamaana kweli wakenya wako wameshindwa tatua issue ya Kibera kweli?
 
Hii ni solution muzuri sana But inamaana kweli wakenya wako wameshindwa tatua issue ya Kibera kweli?

issue ni kubwa kuliko tunavyoiona, kenya ni nchi yenye matabaka, gap kati ya mwenye nacho na asiyenacho ni kubwa, mbaya zaidi mafukara ni Wengi sana kuliko Matajiri.
Pseudo Economy
 
Na waa oh.
Never heard of this.
Guiness book of records where u at?
The peepoo company sells toilet bags.
Hapana chezea bepari za kinyang'au.
Kenya nilikuwa naiona kama Ulaya vile zamani.
 
Na waa oh.
Never heard of this.
Guiness book of records where u at?
The peepoo company sells toilet bags.
Hapana chezea bepari za kinyang'au.
Kenya nilikuwa naiona kama Ulaya vile zamani.

Wengi wanaiona hivyo, hata wakenya wengi hujiona kama waingereza,
But the reality they poo [emoji90] in plastic bags hahaha,
 
Hao wanaokusanya kwanini wasijenge vyoo wakawaruhusu hao watu kutumia bure ili wapate hicho kinyesi?, nadhani itakua cheap kwao na watasaidia hiyo jamii kuliko hivyo wanavyofanya
 
TUNAKUNYA KILA MAHALI HADI KWA MIDOMO YA DANGANYIKANS...HEBU MUULIZE GEZA.
 
Dah jengeni hata public toilets? Hivi hizo flyover mngejenga vyoo vingapi?? Bongo hali ngumu lakini ni adimu sana kukuta mtu anakidimua kwenye mifuko

#DG
 
Maudhui ya Video hii huenda isiwavutie wengine,

Kutana na Mama Jasiri anaefanya kazi ya kukusanya mifuko yenye Haja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
https://www.ippmedia.com/sw/safu/vinyesi-‘mifukoni’-ni-uchafuzi-wa-mazingira-uliokithiri [emoji115][emoji115][emoji115] Tanzania: Vinyesi mifukoni na uchafuzi wa mazingira. Hii ni tabia ambayo imekithiri kwa watanzania, na sio kwenye vitongoji duni tu, ni hadi maofisini pia. [emoji15] Tatizo kuu likiwa ni ukosefu wa vyoo hadi kwenye ofisi za 'heshima', za umma. Jirani zetu tunawafahamu vizuri zaidi ya mnavodhania. Jina lenyewe limenifurahisha sana, vinyesi mifukoni. 😀😀
 
Af Watu wa Nairobi wanakuja kujinadi upuuz hata vyoo hawana kumbe!
 
Sasa hivi wana nafuu sio kama zaman
tapatalk_jpeg_1533806478122.jpeg
 
Back
Top Bottom