Nairobi-made satellite ready for launch into space

"extremely small satellite which has the volume of just one litre"

wakenya hamuwezi mkawa serious sasa satellite iko sawa na ujazo wa chupa ya maji ya kunywa itaweza kufanya mission gan? hiyo hata nyumba haioni itaishia kuona clouds tuu hahahahahaha
 
MK254
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Lita moja kama ile chupa ya maji ya Uhai
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 

Get an education and stop embarrassing yourself this much, you sound pathetic.
Wewe ni wale huchekelea udogo wa simu na bado akili zinasubiri kuona simu kubwa kubwa za zamani bila kuzingatia uwezo wake, miafrika bana ushithole Trump katukana.
 
Get an education and stop embarrassing yourself this much, you sound pathetic.
Wewe ni wale huchekelea udogo wa simu na bado akili zinasubiri kuona simu kubwa kubwa za zamani bila kuzingatia uwezo wake, miafrika bana ushithole Trump katukana.
buda mbona hasira...nini mbaya?.
 
Nanosatelite ndo trend sikuhizi,ndo maana wanazirusha hata 50 kwa mpigo.

Kwasasa hata wewe ukitaka unarusha satelite,ni suala la kulipia tu usafiri.

Kuna makampuni kibao tu yana satelite huku angani.
 
Wakati jirani kenya inarusha satellite. Sisi tuko busy kununua wapinzani. Serikali ya viwanda
 
Sisi tuna fedha ya kununua binadamu tu sio ya kufanyia utafiti
 
buda mbona hasira...nini mbaya?.

Sio hasira, ni kushangaa mdau hapo anavyotia aibu na kudharilisha JF's great thinkers.
Teknolojia za leo zinazidi kuwa miniaturized, sio enzi zile computer ilikua inabidi ienee kwenye chumba kimoja.
 
Solar manufacturing plant Kenya .
. Tunapiga kelele mchana ikifika usiku tunachapa kazi, kesho yake tunarudi kucheka cheka na watu wengine..twende kazi


Next ni tuyalenga ni utengezaji wa air conditions,fridge,Tv..
 
Japanese made Kenyan satellite! Is Nano satellite a big deal in today's era?
 
Sio hasira, ni kushangaa mdau hapo anavyotia aibu na kudharilisha JF's great thinkers.
Teknolojia za leo zinazidi kuwa miniaturized, sio enzi zile computer ilikua inabidi ienee kwenye chumba kimoja.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Nlikuwa busy nikashindwa kuona vile ukimwagika povu kwa hasira..[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Unajua we jamaa unazeeka vibaya ,
Yaani hako kadude wametengeneza wajapani ndio unafungulia Uzi mzee,?? Halafu karne hii ????
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

,
 
Kenya inatarajia kurusha satelite yake ya kwanza angani. Kwa kusaidiana na wataalamu wake pamoja na wataalamu kutoka Japan satelite hiyo ndogo ijulikanayo kama mini-satelite inatarajiwa kurushwa mwezi wa 3 mpaka wa 5. Satelite hiyo itatumika kuchunguza masuala ya kilimo na hali ya hewa. Inatarajiwa kurushwa na msaada wa NASA kutoka kwenye International Space Station(ISS)

Hongereni sana wakenya.
 
Yeah hako kadude gharama yake ni 120m kshs hela ambayo inaweza kutoa umaskini kutoka kwa ukoo wako wote muishi kwa raha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…