nilitaka kumshangaa mkuu.South Africa, Nigeria, Ghana, Mauritius, Algeria, Egypt.
Kuna satelites zaidi ya 8,000 kwenye orbital space. Kati ya hizo 1700 bado zinafanya kazi.
Hakuna nchi yeyote ya Africa yenye satellite yake ya kutengeneza yenyewe.
ukisikia nchi imekizi vigezo vya kurutubisha madini ya urenium ndio inauwezo wa kutengeneza na kulusha satelitte yakwao wenyewe.Ghana brooo
Kumbe nao kingereza hawajui wanatushambulia watanzania [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji23] [emoji23] [emoji23]few years ago.. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Inahitaji akili mbovu kuelewaMi huwa nashangaa kila mwaka watu wanamaliza vyuo lakini hakuna tofauti yeyote inayo tokea az if kama tuko kwenye genge la porojo na YouTube's.
Leo ndiyo nimeelewa kwanini mdomo na anus both are two openings of the same tube, but the owner treat them completely different[emoji23] [emoji23] [emoji23]