Nairobi man in court for stealing underwear

Nairobi man in court for stealing underwear

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
The struggle is real,this guy will be doing time for stealing underpants, who knows anaweza kuwa hata MK254 au pingli-nywee
IMG_20181105_165438_779.JPG
IMG_20181105_165423_279.JPG
 
Mmmh! Kumbe ni kwenye supermarket. Nikadhani aliiba pichu ya demu flani mwenye liwowowo la ajab kama kumbukumbu, baada ya kumchezea rafu ile mbaya kwenye game ya bedminton. Sasa hapo ndio ingekuwa labda ni mimi. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hehehe nyie tangu mshikishwe ukuta na wazungu kwa ajili ya ukurupukaji wa Bashite, naona mumepoteza network hadi sasa mnaleta mada za chupi....hehehe
 
Hehehe nyie tangu mshikishwe ukuta na wazungu kwa ajili ya ukurupukaji wa Bashite, naona mumepoteza network hadi sasa mnaleta mada za chupi....hehehe
Acha nyudo zako maisha magumu watu wanaiba underwear apate hata ugali omeenaa.
 
Hehehe nyie tangu mshikishwe ukuta na wazungu kwa ajili ya ukurupukaji wa Bashite, naona mumepoteza network hadi sasa mnaleta mada za chupi....hehehe
Sasa kama mnaiba mpaka chupi, huu ni umasikini wa first class kabisa. And, for the normal minds this is a big story.
 
Back
Top Bottom