MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
ππππππthat humour thoughMmmh! Kumbe ni kwenye supermarket. Nikadhani aliiba pichu ya demu flani mwenye liwowowo la ajab kama kumbukumbu, baada ya kumchezea rafu ile mbaya kwenye game ya bedminton. Sasa hapo ndio ingekuwa labda ni mimi. [emoji23][emoji23][emoji23]
Acha nyudo zako maisha magumu watu wanaiba underwear apate hata ugali omeenaa.Hehehe nyie tangu mshikishwe ukuta na wazungu kwa ajili ya ukurupukaji wa Bashite, naona mumepoteza network hadi sasa mnaleta mada za chupi....hehehe
Sasa kama mnaiba mpaka chupi, huu ni umasikini wa first class kabisa. And, for the normal minds this is a big story.Hehehe nyie tangu mshikishwe ukuta na wazungu kwa ajili ya ukurupukaji wa Bashite, naona mumepoteza network hadi sasa mnaleta mada za chupi....hehehe