Nairobi ndio jiji pekee duniani lenye masikini wengi na umasikini wa hali ya kutisha

REDEEMER.

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
8,925
Reaction score
14,890
Ikumbukwe nairobi ina wakazi mil 3.5 ni jiji la pili kwa ukubwa baada ya Dar. Katika jiji la nairobi ndipo panapopatikana makazi holela makubwa kuliko sehemu yoyote duniani.

Kibera pekee pena umasikini ambao hamna sehemu yoyote duniani unapatikana wanakaa ambapo ubakaji, wizi, uhuni, mauaji yanatokea kwa kiwango cha kutisha na wakazi mil 2.5

Kwa mujibu wa takwimu za dunis nairobi ndio jiji lenye masikini wengi kuliko mji wowote duniani sababu ina wakazi mil 2.5 ambao wengi wao kama sio wote hawana uhakika na chakula wala chai huko kibera ambapo hakuna huduma ya maji safi, huduma za afya bora, miundombinu wala amani

Nairobi kuna wakazi laki 9 tu ambao angalau ndio wana uhakika na sahani ya chakula
 

Takwimu za kutukuka zinadadavua janga hili
 
Zaidi ya asilimia 80 ya wakazi wa nairobi wanaishi kwenye nyumba za aina hii, ikumbukwe kibera ina vibanda vya aina hii 3000,000 kwa mujibu wa takwimu za unicef
 
Zaidi ya asilimia 80 ya wakazi wa nairobi wanaishi kwenye nyumba za aina hii, ikumbukwe kibera ina vibanda vya aina hii 3000,000 kwa mujibu wa takwimu za unicef
Hii sijaielewa
Yaani vibanda 3000,000!!
Vibanda vinashinda idadi ya watu?

Ume plus ndugu
 
... And Dareslum is the only slum city in the world Baba Govi
 
Baba Govi usikianzishe kitu ambacho haukijui na hauwezani nayo. Shame on you. Your Slummy DareSLUM Floats on water too



 
Hii sijaielewa
Yaani vibanda 3000,000!!
Vibanda vinashinda idadi ya watu?

Ume plus ndugu
Akili za GT
Sasa kuna ajabu gani nyumba kuzidi idadi ya wakazi?
Wewe huwezi kua na nyumba zaidi ya moja? Au ukiwa mtu mmoja ni lazima uwe na nyumba moja ili wakati wa sensa idadi ya nyumba iwe sawa na idadi ya watu?[emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…