Nairobi SGR Terminus vs Dodoma Bus Station

Daaah hawa majamaa wamechukua kichwa cha Mitsubishi canter wakaweka body ya bus kwa nyuma daaah maaninnaaa.!!!!!!
[emoji23][emoji3][emoji16]
Noma sana
 
Itakau kivutio cha aina yake [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kituo rasmi, na kuna ma tour guides wanajua machocho yote, wanawapitisha wazungu huko wakiwakenulia na kuwaambia this is it, that's how it is. [emoji90]
 
Wataziona na zile flying toilet [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kituo rasmi, na kuna ma tour guides wanajua machocho yote, wanawapitisha wazungu huko wakiwakenulia na kuwaambia this is it, that's how it is. [emoji90]
 
Nairobi Terminus


VS
Dodoma bus station


MY TAKE
Dodoma bus Station is as good as Nairobi Terminus. BTW some buildings at Dodoma bus station r having up to 4 floors! whereas at Nairobi Terminus 2 floors!
Hii sio dodoma, hii ni render ya Nyegezi bus terminal mwanza na ujenzi unaanza mwezi huu
 
Geza is looking to redeem himself after too much heart ache, pole mzee
Hawa washamba watu wa nyuma kabisa Tz wanajenga bus stations wakati Nairobi inapanga kujenga commuter rail station ya kisasa? Not too long ago French president Macron came to launch the ambitious project.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…