Huu mtaa wa Zimmerman Una upana hata kushinda hiyo kariokoo yenuInaitwa kariakoo ward ina mitaa yake kadhaa,by any means haiwez kua mtaa popote
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha kariakoo nyumba zake zinaeleweka apo kwenu majanga bro,kariakoo ruler niko planned mwanzo mwisho angalia kwenu kulivyodhoofika,kariakoo ipe heshima yakeHuu mtaa wa Zimmerman Una upana hata kushinda hiyo kariokoo yenuView attachment 1012366View attachment 1012368
Sent using Jamii Forums mobile app
Nioneshe majengo ya maana hapaHaha kariakoo nyumba zake zinaeleweka apo kwenu majanga bro,kariakoo ruler niko planned mwanzo mwisho angalia kwenu kulivyodhoofika,kariakoo ipe heshima yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Hv ni ww uliosema magar yote Africa mashariki yanazungukia Nbo tu
Unplanned houses.Glass biuldings tatu?wewe Ndio uko desperate ,Dar nyumba ni nyingi kuliko Kenya
Sent using Jamii Forums mobile app
Haukuagi mtu wa ubishi sijui leo vipi mwaya.ukweli ni kwamba Dar nzima ukitoa upanga, kijitonyama, mikocheni, Oyster bay na kidogo mbezi mitaa iliobaki yote ni uswahilini.
Kwann tubishane kila kitu.ni sawaHaukuagi mtu wa ubishi sijui leo vipi mwaya.ukweli ni kwamba Dar nzima ukitoa upanga, kijitonyama, mikocheni, Oyster bay na kidogo mbezi mitaa iliobaki yote ni uswahilini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeingia tena Kwa magari sasa?...hapa ni westy na kuna magari hayo umepostHv ni ww uliosema magar yote Africa mashariki yanazungukia Nbo tuView attachment 1012380
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni kama ile not all Muslims are terrorists but all terrorists are Muslims...
HavihusianiHiyo ni kama ile not all Muslims are terrorists but all terrorists are Muslims...