Nairobi to legalize Ukahaba

That is the only to control prostitution.
 
And bytheway if you Quickly @icono.... you people should visit Moyale by road u won't regret the tour my ecstatic place is frm Marsabit to Turbi you will see a landscape you won't have thought or imagined to be Kenya inaitwa Diid Galgalo.
 
Nivlark naona point yako. Kule Ethiopia wanawekwa kwenye mabweni na kulishwa vizuri. Unalipia kwenye counter kwanza i.e hiyo inaondoa shaka la wewe kuwa "msotaji". Kisha wana pewa protection na maFeds wa huko. Yote haya yanatuangazia organization kwenye hiyo trade na kuiondoa hadharani. Naamini pia wanapewa zile vifaa vya kazi zao kv condomu nk, ili kupunguza kyenea kwa magonjwa ya zinaa na ukimwi.

Binafsi siyatumii haya huduma lakini bado yapo. Wangejaribu kufanyishsa mipango kama ya Ethiopia, wangeweza punguza ukimwi nk. Hiyo ni practical solution, sijui kama kuna zingine.
 
Unbelievable!! the world has turned upside down!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…