Nairobi vs Dar es Salaam:Interchanges

Haha you wish huo uchawi ufanye kazi sio...utachonga viazi

Nani anachulikana kwa uchawi isipokuwa nyie. .... That's why you kill Albinos, to get body parts for your satanic activities. Shetani ishindwe
 
tuta tuta tuta all the time
 
Tihahahhaaaaa. Tunajua vile you become wild all of a sudden when you are cornered. For once umejua hamna chochote Danganyika
umeshindwa??
unaporinganisha kitu kuna vitu unique inabidi uviangalie...
 
Sijakuelewa, hizi interchanges zinapojengwa huwa zinapunguza foleni kwa sana. Hii point yako ni sawa tu na nyoka akimeza mkia wake.
Point yang Nairobi ni moja ya miji mitano yenye folen Dunian ingawa Dsm ni kubwa kuliko Nai
 
Point yang Nairobi ni moja ya miji mitano yenye folen Dunian ingawa Dsm ni kubwa kuliko Nai
Iyo unaongeaga middle class ni strong...watu wako Na wanaendelea kununua magari.
Nchi maskini ka Burundi utaona jam wapi
 
Hapa Tanzania wameoshwa tu, fungeni thread ... too embarrassing
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…