Tofauti yao ni kuwa yanatumia elevetor moja mojaHilo ni jengo moja bro. Liondoe tuendelee na thread. Uliniambia niondoee Social Security House nikaondoa roho safi.
pia mawasiliano lililopo road ya mliman city na lile jengo lililo kariakoo pale msimbaz na ilala yapo mengi pale kadhaa pia mataa ya kuelekea keko kuna jengo mbili moja mpya na nyingine sophia house chek zipo ngapi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maghorofa marefu yako Kigali na Kampala nyie mmekalia Dar na Nairobi
NinayoKuna BOT tower 2 pale 20 floor each mwenye picha mwnye nayo ashushe
na hilo pembeni likiisha si shida aiseee dar ni balaa
Tofauti yao ni kuwa yanatumia elevetor moja moja
mkubalie mwambie powa na wao wafanye mbili
We sio mtanzania na please usishoboke na nchi ye2
Ok nakupaambia KweliKwanza aweke hilo kama ameishiwa badala ya kucheza ngware.
dah nimereply kwake kumbe siyo mbingo ayaa zisome mkal kwanza kuna majengo nimetoa lication uyachekWe sio mtanzania na please usishoboke na nchi ye2
Ok nakupa
Hili la upanga residence 20flr
Apa tunacheki yaliyo above 20dah nimereply kwake kumbe siyo mbingo ayaa zisome mkal kwanza kuna majengo nimetoa lication uyachek
Weweee kuhesabu hujuiHilo jengo halijafika 20 floors. Tena tuwekee jina la jengo. Naona umeanza kusumbua kimakusudu maana umeona majengo uliyobaki nayo ni BOT twins pekee huku mimi bado nina majengo chungu nzima. Umeshangaa vile majigambo ya Dar kuwa na mahengo mengi over 20 floors hayako sahihi.
Acha kulalamika lalamika weweHilo jengo halijafika 20 floors. Tena tuwekee jina la jengo. Naona umeanza kusumbua kimakusudu maana umeona majengo uliyobaki nayo ni BOT twins pekee huku mimi bado nina majengo chungu nzima. Umeshangaa vile majigambo ya Dar kuwa na mahengo mengi over 20 floors hayako sahihi.
Mumefkia wapi niendeleze mpiraWeweee kuhesabu hujui
Hahaha jamaa analalamika eti viva tower ni mojaMumefkia wapi niendeleze mpira