Nairobi Vs Dar es Salaam: Towers over 20 floors

pia mawasiliano lililopo road ya mliman city na lile jengo lililo kariakoo pale msimbaz na ilala yapo mengi pale kadhaa pia mataa ya kuelekea keko kuna jengo mbili moja mpya na nyingine sophia house chek zipo ngapi
 
Tofauti yao ni kuwa yanatumia elevetor moja moja

Mkuu, hayo majengo base yake inachukua kitu kama 60% of the total height ndio unasema ni majengo mawili tofauti? 2. Nyayo si kila jengo lina elevator yake tofauti? Social Security House si yana elevator tofauti? Kama unataka kuyahesabu kama majengo mawili niruhusu nihesabu NSSF na Nyayo house kama majengo mawili na tuendelee.
 
Ok nakupa
Hili la upanga residence 20flr


Hilo jengo halijafika 20 floors. Tena tuwekee jina la jengo. Naona umeanza kusumbua kimakusudu maana umeona majengo uliyobaki nayo ni BOT twins pekee huku mimi bado nina majengo chungu nzima. Umeshangaa vile majigambo ya Dar kuwa na mahengo mengi over 20 floors hayako sahihi.
 
dah nimereply kwake kumbe siyo mbingo ayaa zisome mkal kwanza kuna majengo nimetoa lication uyachek
Apa tunacheki yaliyo above 20
Mawasiliano ni 18
Na sophia house sizan kama yamefika
Uko keko ata cjawahifika
 
Hahhahaah hawajakubali matokeo hehheehe๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Weweee kuhesabu hujui
 
Acha kulalamika lalamika wewe
Naona dalili umeishiwa unaanza kusumbua
Mwenyewe ninayo mengi2 na apo lipo la kulia na kushoto
 
Bongo inaumiza watu kichwa hhahahahaahahahha wazee wasifa wanahangaika sana ๏ฟผ๏ฟผ๏ฟผ๏ฟผ๏ฟผ๏ฟผ
Hawaamini wanachokiona hahhahhahhha just 10 yrs tumejenga nchi hehhehheheehe na leo tumeanza kazi modern electric train hehehe wamepewa 2.5 yrs tu hahhhaahhahahaha๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ