kamanda mbigi
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 1,241
- 1,546
usijidanganye .....sis hzo ghorofa mbili kwetu kawaida ndyo kwanza tunaanza hatuna mpango nayo ....tunazungumzia uhalisia wa majengo dar to nai nairobi kamji kenu bado ni kamejengeka sehemu ndogo.....ila kwa upande wa barabara mmetisha lakini ndyo tunakuja kufanya mapinduzi funga mkandaMuache kujiaibisha watanzania.
Google earth pekee ukilitazama Nairobi tu maghorofa hayahesabiki ukilinganisha na Dar.
Ama kweli maskini akipata ,matako hulia mbwata!
Mmejengewa vijighorofa viwili sijui TPF sijua A wapi na wapi mmewehuka!
ni 16 floors sio 15 fl
umekuwa demu umetekenywaWengine tunawasoma humu na kuwacheka kimyakimya..hahhhaha!
umekuwa demu umetekenywa
Sasa we class 8 unajua nn?Naona wapuuzi wanajenga kwenye fukwe kabisa tena ukizingatia mabadiliko ya hali ya mazingira,hewa/anga duniani(CLIMATE CHANGE)
inayosababisha muongezeko wa maji baharini...RISING SEA LEVELS DUE TO MELTING ICE AT THE POLES.
Ujinga kweli ni mzigo.
Ulitaka tujenge wapi kibera au kariobangi??? Hebu tusaidie ππππππNaona wapuuzi wanajenga kwenye fukwe kabisa tena ukizingatia mabadiliko ya hali ya mazingira,hewa/anga duniani(CLIMATE CHANGE)
inayosababisha muongezeko wa maji baharini...RISING SEA LEVELS DUE TO MELTING ICE AT THE POLES.
Ujinga kweli ni mzigo.
msimamo wa ligi nishauweka wakenya hawataki kueka jengo laoMNABISHANIA TPA 36 MARA 40...
LE MAC 22 MARA 26...
MILLENIUM 27 MARA 30...
TUTAKESHA HAPA JUST GOING ROUND IN TINY CIRCLES...
MI NAONA MAJENGO YAMEISHA
NairobiWalker na
KweliKwanza
MTUPE CONCLUSION TUENDELEE NA MAMBO MENGINE.....