Nairobi Vs Dar es Salaam: Towers over 20 floors

Hahahaha.. umetisha kijana wangu ichoboy.
 
kaka ukweli lazima usemwe,ulicho mzidi ichoboy labda ni kingereza tu ambacho kwangu sikitumii kama kigezo cha kupima awezo wa akili ya mtu.

vingine kakuzidi kwa mbali sana.najua utaleta ubishi kwa kunijibu kwa lugha ya kingereza.[emoji23]
 
kaka ukweli lazima usemwe,ulicho mzidi ichoboy labda ni kingereza tu ambacho kwangu sikitumii kama kigezo cha kupima awezo wa akili ya mtu.

vingine kakuzidi kwa mbali sana.najua utaleta ubishi kwa kunijibu kwa lugha ya kingereza.[emoji23]
Kwikwikwikwi....
 
kaka ukweli lazima usemwe,ulicho mzidi ichoboy labda ni kingereza tu ambacho kwangu sikitumii kama kigezo cha kupima awezo wa akili ya mtu.

vingine kakuzidi kwa mbali sana.najua utaleta ubishi kwa kunijibu kwa lugha ya kingereza.[emoji23]

Kwaiyo mnanibishia Le mac sio floor moja?!
Mimi nimeingia mule nimekuta ndani ni floor moja sasa wewe unabisha nini? Muulize hata konda wa matatu niliopanda amenishushia wapi! Peleka povu huko πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Tulia niweke picha ndo ujue hii ni 2017!! Kijasho kitawatoka
 
Hapa ilikua poa vile uliingia ukaanza upuzi na Annael but mkileta ujinga ntawanyamazisha...umeona Annael of late????
huna uwezo wa kumnyamazisja mtu hapa.

ukiona mtu hayupo online, juwa kwamba yupo busy na majukumu mengine nje ya jf.

wewe ajira yako ya u watchman inakupa wasaa wa kutosha wa kuwa online 24 hrs.
 
huna uwezo wa kumnyamazisja mtu hapa.

ukiona mtu hayupo online, juwa kwamba yupo busy na majukumu mengine nje ya jf.

wewe ajira yako ya u watchman inakupa wasaa wa kutosha wa kuwa online 24 hrs.
Nmewanyamazisha na ntawanyamazisha mlikuaga na kelele za ujinga hapa..anza upuzi uone
 
Nilichokwambia hapa tunapost complete buildings lemac na britam tunatoa kama mlivotoa nairobi golf hotel alafu tuendelee kazi mbona muoga sana?????????
Mm nataka kukuonesha kua wewe bado kijana mdogo na kwa majengo ya complete over 20 dar hutoboi kama unabisha tuendelee hakuna shida lakin sipendi maneno mengi
 
Kijasho wakati munapachika under construction buildings yani bado hamujiamini mbele ya dar hahahhaahahhaha 10 yrs my frnd munatoka mapovu hvi je ingekua 20 hvi ingekuaje.....
Nimekwambia kma wewe unajiamini mwanaume toa under construction buildings alafu tuendelee uone kma utatoka humu ndani
 
Na kwanza hatuwezi bishana na lemac tower kwanza tunaitoa kwenye list mkikamilisha ujenzi itaekwa hakuna shida na britam tunatoa malizeni ujenzi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Mlitaka kujitia wajanja sana ekeni complete buildings tuendeleee πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
Msimamo huo wa complete buildings

1. Nairobi uap 33 V Dar TPA (40floors)
2. Nairobi times tower 33 V Dar PSPF 1 35
3. Nairobi kicc tower 28fl V PSPF 2 35
4. Nairobi social security 28 V Dar Rita 30 floors
5. Nairobi anivesary tower 28 V Dar Millennium Tower 30 floors
6. Nairobi teleposta tower 27 V Dar Uhuru Heights 27 floors
7. Nairobi nyayo house 27 V Dar Umoja wa Vijana 1 25 floors
8. Nairobi co operative bank 25 v Dar Umoja wa vijana 2 25 floors
9. Nairobi 4th ngong avenue 25 V Dar PPF Golden Jubilee 24 floors.
10. Nairobi hazina tower 24 V Dar Golden Tulip 23 floors
11. Nairobi kcb tower 23 V Dar Samora Tower 23 floors
12. Nairobi uon tower 22 v Dar Mafuta Tower 22 floors
13. Nairobi ambank tower 22 V Mafao House 22 floors
14. Nairobi lonrho house 22 v Dar Quality Boulevard 22 floors
15. Nairobi national bank 21 V Dar Viva Tower 21
16. Nairobi uchumi house 21 V Dar BOT 1 20 floors
17. Nairobi reinsuarace plaza 20 V Dar BOT 2 20 floors
18 Nairobi??????????????? V Dar Ushirika House 20 fl
 


Assuming we agree to your ridiculous ommissions and remove Britam and Lemac like we removed a well qualified Golf hotel. Where are these buildings on your list? Are they incomplete too?

1. Viewpark Tower
2. ICEA Tower
3. King's Distinction.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…