Machakos county iko na difference na machakos town...elewa difference msee
Mbona unajibu kwenye thread tofauti. Twende kwenye thread inayohusika tuone pia weka source website.I just realized that Westlands has a las Vegas Casino next to muthithi road and the Photos are the same ....which is which?
TrueLamu has a better aeriel view than Dar
yaaani hamkufaa kabisa kuwa africa level zenu ni za europe au u.s.a .......ni hatar sana mna boooooonge la city ........[emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31]
Nyayo estate embakasi
The 2nd biggest estate in Africa
Si nyinyi kwa hii battle ya majengo yenye floors 20 mlihema sana na kubaki na deni majengo matano. Ilibidi tusimamishe huu mpambano hadi siku ile mtajenga mengine ndio mje mjaze pengo, kwa sasa sisi tunajimbambaHivi hapo unaona 20 stores building atamoja?? Dar es salaam imeshinda tunafunga mada.
zeee la kupenda kiki kama msaniiSi nyinyi kwa hii battle ya majengo yenye floors 20 mlihema sana na kubaki na deni majengo matano. Ilibidi tusimamishe huu mpambano hadi siku ile mtajenga mengine ndio mje mjaze pengo, kwa sasa sisi tunajimbamba
luse Mimi unanibamba kwa maneno ya shombo tu dhidi ya wakenya....ni burudani sana...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]zeee la kupenda kiki kama msanii
kila ukiguswa waya...
zee la kujifariji.......ha haa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole sana spenzia a.k.a matamvua
Mnatumia nguvu nyingi kujaza vitu havihusiani na uzi...acheni drama kama hamna majengo yenye floor zaidi ya 20 mkubaliNyayo estate embakasi
The 2nd biggest estate in Africa