Naishataki Vodacom na Tigo Tanzania Kwa hasara walionipa

TIGO wezi balaa. Lakini siku za karibuni there was some improvement in their service.
Wizi wa mtandao wa TIGO sijui kama unaufikia wizi wa mtandao wa Voda. Voda nimewavulia kofia kwa wizi. Nshagombana nao sana tu.
 
Voda ndio majiz kabisa unaweka bando la buku masaaa tu limekata
Na Cha ajabu ukiwapigia kuwauliza watakuambia umejiunga huduma ya game. Ukiangali mbona hujafanya hivyo. Watakuambia ngoja tukuondoe. Acha hata shilingi 100 kwenye akaunti yako , wanapita nayo
 
Na Cha ajabu ukiwapigia kuwauliza watakuambia umejiunga huduma ya game. Ukiangali mbona hujafanya hivyo. Watakuambia ngoja tukuondoe. Acha hata shilingi 100 kwenye akaunti yako , wanapita nayo
Matapeli hawa huwa wanafazili matapeli yan unajiunga bando la wiki linaisha masaa mawili tu
 
Hivi hii mitandao ikisema hela iko hewani , imetoka na haijafika. Inakua ipo wapi ? (Ki-teknolojia)
 
Kuna li mtandao la Halotel, lenyewe huwa halina offer, halina promotion, halitoi mabango kwa mawakala wake, halitoi taarifa kukiwa hakuna mtandao. Kwa mfano kwa siku zaidi ya Nne au tano sasa , ikifika tu majira ya jioni limtandao lao halifanyi kazi na wahussika wala hawatoi taarifa yoyote. Hopeless kabisa.
 
Huwezi pata msaada sabu tuna serikal ya kipumbavu kuwai tokea

Mtu ni maskini unatuma pesa unakosea muamala unambiwa subiri masaa 24 ya kaz na kaz kwa sku wanafanya masaa 8/9 maana yake masaa 24 ni sku mbili ad tatu pesa ya mtu ujui anamattzo gan au ana shida gan unamwambia asuburi masaa24 ya kaz

Airtel unanunua bando la elf10 gb4. Zikifka mb500 internet inaanza kusumbua wanataka ununue bando jingne

Mm sibet na wala sjawai bet ila unashangaa unapokea matangazo ya betting wametoa wap namba zangu

Unaibiwa pesa mtandaoni unaenda kwenye kampuni kwaajiri ya msaada na upati msaada wwte wakat huo wanatwambia namba zote zimesajiliwa na kitambulisho cha nida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…