Nina mtu namfahamu awajalipwa mshahara wa mwezi wa 12 mpk leo anafanya Azam kisa eti wizi ulitokea n kuna uchunguzi jamaa amekop mpk amekaukiwa ata nauli hana, ameshindwa enda kazini na hajal sku mbili mpk namuonea huruma sema ndo maisha yalivyo
Sent from my iPhone using JamiiForums