Lukaku marata
JF-Expert Member
- Dec 4, 2019
- 449
- 752
- Thread starter
-
- #21
Wachache sana wenye mawazo kama haya, huyu bwana angeonekana wa maana sana kama angeenda kuongea aliyoongea hapa na waajiri wake na akajaribu kuonyesha mapungufu, na kutoa ushauri wake wa namna ya kupata faida. Hata kama mawazo yako yatatupwa, lakini nia yako njema itakumbukwa na hata wakifunga watakupa nafasi wewe.
Usiogope... usijitie magonjwa!! Aliyekuumba anajuwa pakukulinda.Kweli mkuu,ila hali inaogopesha
Usiogope... usijitie magonjwa!! Aliyekuumba anajuwa pakukulinda.
We say Tawakul ala Allah
Mie Naamini hivyo.. Pia nimepata taarifa Kampuni hiyo ni kubwa ya kimataifa.. hivo haitafunga branch za huku..Sawa mkuu
Kwakua ushagundua hilo anza kusev pesa japo kwa kucheza michezo Kama huez kukaa na pesa pili mfungulie wife ata kigenge auze uze ili wote msianguke kiuchum ,
Mie Naamini hivyo.. Pia nimepata taarifa Kampuni hiyo ni kubwa ya kimataifa.. hivo haitafunga branch za huku..
Nimesomea hali za kiuchumi... mwangaza mzuri huo...Taarifa umepata wapi?
Nimesomea hali za kiuchumi... mwangaza mzuri huo...
ushauri.Habarini za humu wanajamii,hapa nimefikiria nikaona hebu nije kuomba ushauri au mawazo katika hili.
Ninafanya kazi kwenye company moja hapa mjini kwa takribani miaka miwili hivi toka nimalize elimu yangu ya juu cha kushangaza ile company toka naingia ilikuwa ni startup yaani ndo inaanza ila toka ianze na mimi hadi leo mshahara napokea vizuri tu kila mwezi kama 800k hivi per month, ila cha kushangaza tokea company ianze mpaka leo haijawahi rudisha hela iliyokuwa wanainvest shortly haiingizi faida toka ianze.
Nimepanga na mtoto mmoja ila nina hofu siku ikifungwa sijui itakuwaje na ajira zilivyongumu hivi nimejaribu vibiashara hata haviendi yaani full stress sijui hata niseme vipi
ushauri.
fanya kila namna kila mweze wekeza 500,000
kwa miezi 5 fungua duka la jumla utatoboaa
hii helaa ni nyingi mno 800k ni nyingi sanaa kakaa make investment,
au tafutaa 1.4 M chukua mchele mbeyaa (1300 hadi ifike dar ni super
fanyaa biasharaa
We ni Kama nani hapo kwenye hiyo kampuni?2019,ina deal na mambo ya uchoraji ramani
Huna akili. Mtu hajazuliwiaa kutafuta green pasture we kama umezoea kufanya kazi isiyo kulipa fanya... kama sio ya baba ake ni ya nini kujipinda mgongo afie pale?Huna tofauti ba malaya yaani wauza miili, hao huangalia mwenye nacho.
Mshauri awe mbunifu ili kampuni iongeze mapato na sio kuki
Hizo green pasture humwagiliwa maji kenge weweHuna akili. Mtu hajazuliwiaa kutafuta green pasture we kama umezoea kufanya kazi isiyo kulipa fanya... kama sio ya baba ake ni ya nini kujipinda mgongo afie pale?
We ni Kama nani hapo kwenye hiyo kampuni?
Makampuni mengi ya Aina hiyo huwa Kama yanamilikiwa na watu wengi Basi hizo huwa Ni hujuma I'll mkurugenzi ashindwe na kampuni iongozwe na mwingine au iIuzwe kwa mmiliki mwingine kabisaaaaaaaaWachache sana wenye mawazo kama haya, huyu bwana angeonekana wa maana sana kama angeenda kuongea aliyoongea hapa na waajiri wake na akajaribu kuonyesha mapungufu, na kutoa ushauri wake wa namna ya kupata faida. Hata kama mawazo yako yatatupwa, lakini nia yako njema itakumbukwa na hata wakifunga watakupa nafasi wewe.
Umeonge point sana bro......tunafikiria matumbo yetu zaidi.......mshahara anapata but ana hofu ya kampuni kufariki...why asiingie front kujua kinagaubaga....ili kuongeza ufanisi mapato yaongezeke na mshahara upand...anakimbili JF kuonyesha uoga na udhaifu alio nao.....Umechukua juhudi gani ktk nafasi uliyonayo hapo kwenye hiyo company ili ipate faida na iendelee ku exist?
Unawasaidiaje owners ili wafikie Malengo yao?
Aisee. we ENDELEA na hicho kijiwe lakini Ni lazima uandae mazingira ya kujiajirJenga urafiki na maafisa wapitisha ramani. Anza kuwa unapeleka kazi zako binafsi kupitisha. Ili ujenge jina pia I we rahisi kupitisha kazi zako hata Kama kampuni itafwarikiMimi ni designer tu pale