LOVE IS ALL ABOUT KIND ACTIONS.................... USIISIKILIZE SAUTI HASI NDANI YA MOYO WAKO. MFANYIE MATENDO MEMA TARATIIIIBU, NAYE ATAANZA KUJIFUNZA.Kumbuka Love is how you create it. Umempita kwa kiwango kikubwa sana cha elimu. Hii ni advantage kwakoo ya kuweza kumsaidia. Una exposure kubwa, ku interact na watu, kusoma love articles, internet etc. Tumia mwanya huu. Na kikubwa uwezo wako wa ku-manage stress ni mkubwa.Think of your baby.............. na kikubwa all smart women you see on the streets, offices etc si kwamba wote wanafurahia maisha ya ndoa as you see their outlook. Is all about emotional marturity........... Be one of them. Show kind actions to you parter and at last utaanza kumpenda tena kama ulivyokuwa mwanzoni.