Naishi nyumba ya kupanga, bint wa kati ya miaka 20-30 mlevi

mansakankanmusa

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2010
Posts
4,162
Reaction score
796
Ni miongoni mwa wapangaji jijini dsm, ninachumba kimoja tu kwenye nyumba ya familia, tunaheshimiana sana, na asilimia 100 ya wakazi wa nyumba hii wanaonja, si wanywaji sana, ila binti wa miaka kati ya hiyo nilotaja hapo juu, ni mlevi na ile pombe kwake ni balaa, inamtesa vibaya..anachanganikiwa sasa sijui bada ya kunywa akigawa beneke baadae huja na kutaka kukatisha uhai wake, wakati mwingine huwa uchi chi,

tatizo langu ni kwamba hatulali, matukio yote ni ya usiku wa manane mpaka majogoo, mimi nashindwa kuvumilia kukesha kuokoa mlevi huyu asijiue, je niamue nisiamke? nitahama lkn je kwa sasa nifanye nini
 
hakuna cha kufanya... hama fasta hapo na acha kujifanya bingwa wa kutatua problems za watu wengine
 
hama hapo, kwa nini uishi kwa kero za mtu anayefanya starehe zake?
 
naona tatizo la binti limekugusa, au roho wa utatuzi wa matatizo kakushukia?
 
Naona hilo la binti kuwa uchi linakuvutia zaidi, au unapenda uachiwe zigo zigo kwa vile unajali sana, kama kweli anataka kujia muache ajiue ili mbaki na utulivu au mpeleke polisi akapambane na Jamhuri kwa kosa la kutaka kujiua.
 
Mwambie landlord ampe notice maana ni msumbufu. Hauna haja ya kuamka huo ni uamuzi aliochukua yeye, angekuwa na akili aache pombe.

Saa nyingine kuna watu ni attention seeker na labda anafanya maksudi anajua utatoka kumrescue.
 
U seem very kind man, i would say save her from her kwa extent fulani akizidi tupia mbali itakua ujinga wake. "Karma is a bitch" means what u do will be done to u too.
 
Unataka tukushauri nini?
Fanya hicho unachohisi tutakushauri.
 
Asikushughulishe na vituko vyake anaetaka kujiua hasemi,na hilo kero unampa attention ndio mana ebu siku akilewa usitoke
wala usifungue mlango akisema anajiu ndio wala usimtoke halafu uone kama atajiua..analo lake jambo mbona hajiui baa alikotoka au hasimami barabarani akagongwa na gari, ivi mpaka hapo hujamsoma kama mzushi?
 

Hapo umepatia kabisa!
 

Huna la kufanya, zaidi ya kuhama tu. huyo wa 20-30 years na mlevi kwa mwanamke ni abnormal, tena mwogope kama UKIMWI.
 
hivi mtu wa namna hii akifa sheria mahakamani ikoje hapa?>


wanasheria tafadhali;-
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…