Naishukuru JF, nimepata mchumba!

Status
Not open for further replies.
Be care,wakati mwingine mbwa huwageukia wanaowatunza!!
 
Hongera sana mkuu! Kila la kheri kwenye maandalizi ya harusi.
 
kililili yuko wifi yetu aje hapa tumuone yu wapi eeeeeeeeeeeeeh nakumbuka mbaliiiiiiiii
 
Binafsi mfumo uliopo si mzuri na pengine unafanya wanaotafuta kweli wachumba kuona aibu namna ya kuwasiliana. Wangejaribu kuboresha namna bora zaidi, maana yake hapa mchumba apatikane kwa kujadiliana na watu wengi?
 
Hivi inawezekana ukampata mchumba ndani ya miezi 3
ukamuita mchumba bora na kutangaza kumuoa
hata mwaka haujaisha? Unataka kutuambia
mmeshachunguzana vema na mkaridhiana kitabia au
wote mmekutana mkiwa na matatizo yenu mkaazimia kuoana gafla? Hata hiyo miezi 6 umesema haitoshi take your time kuchungazana,kwa sasa jiiteni marafiki na sio wachumba.
Ndoa ni maisha ndugu sio kama kununua matunda sokoni
kumbuka ni maagano ya maisha tahadhari usije kujuta baaadae.
Kazi kwako kila la kheri.
 

Kaka miezi miwili tu ushatangaza ndoa..!!!. Kakulambisha nini huyo binti....??? Nina wasi wasi na hii thread naona imejaa uongo wa kutosha.
 
ukishaoa uje tena tukupe maushauri namna bora ya kuishi na mwanamke
 

Hongera ila Utulie sasa.. Na Huyu Chema nadhani nae atajitokeza tu Tu Tumfahamu nae...Sijui atakuwa ni cacico au Kongosho Muweke Historia Mpya ya Maisha Yenu hata Mkiulizwa Njiani mseme hamkukutana Barabarani kama JK na EL
 
Last edited by a moderator:
We mtu mi Nkafikir umepata Familia..kumbe mchumba..long way to Go

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…