Hii ndiyo kazi kweli ya Serikali na nitoe pongezi sana kwa Rais Samia kwa kujali Watanzania kwanza.
Wazee wangu na ndugu zangu wamepata chanjo ya covid 19.
Nashukuru imetutoa wasiwasi hasa kwa wazazi wetu ambao wapo 70’s.
Najua kuna mengi tunalaumu Serikali lakini tunashukuru sasa sana kwa kuokoa maisha na kutuondolea woga.
Wazee wangu na ndugu zangu wamepata chanjo ya covid 19.
Nashukuru imetutoa wasiwasi hasa kwa wazazi wetu ambao wapo 70’s.
Najua kuna mengi tunalaumu Serikali lakini tunashukuru sasa sana kwa kuokoa maisha na kutuondolea woga.