Mimi.
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,120
- 3,059
wapendwa!
Naitaji ushauli wenu boy friend wa rafiki yangu wa miaka mitano hajawahi kumpeleka kwake tangu waanze uhusiano wamekua wakikutana hotelini tu
Yeye anaishi Dodoma na rafiki yangu anaishi Moshi kwa muda wote huo wa miaka mitano
Kinachonifanya niisi anaishi na mtu akiombwa waende kwake uwa anamwmabia kua hatuwezi kwenda kwa sababu ya watoto wanaishi pale mpaka wakishaona ndio atampeleka kwake,hao watoto wawili alizaa na mwanamke mwingine alimuacha kwa sababu alimfumania huyo mwanamke akifanya mapenzi na mwanume mwingine nyumbani kwake
Akimwambia tuachane analia na hataki kabisa kusikia hilo swala
Afanyaje ili ajue ukweli? wanapendana sana na haipiti week bila ya yeye kusafiri kuja moshi kuja kumuona my friend na ameku ni msaada mkubwa sana wa maisha ya rafiki yangu (ki ushauli and financially) though hamtegemei sana kipesa maana yeye mwenyewe najiweza kipesa
Naitaji ushauli wenu boy friend wa rafiki yangu wa miaka mitano hajawahi kumpeleka kwake tangu waanze uhusiano wamekua wakikutana hotelini tu
Yeye anaishi Dodoma na rafiki yangu anaishi Moshi kwa muda wote huo wa miaka mitano
Kinachonifanya niisi anaishi na mtu akiombwa waende kwake uwa anamwmabia kua hatuwezi kwenda kwa sababu ya watoto wanaishi pale mpaka wakishaona ndio atampeleka kwake,hao watoto wawili alizaa na mwanamke mwingine alimuacha kwa sababu alimfumania huyo mwanamke akifanya mapenzi na mwanume mwingine nyumbani kwake
Akimwambia tuachane analia na hataki kabisa kusikia hilo swala
Afanyaje ili ajue ukweli? wanapendana sana na haipiti week bila ya yeye kusafiri kuja moshi kuja kumuona my friend na ameku ni msaada mkubwa sana wa maisha ya rafiki yangu (ki ushauli and financially) though hamtegemei sana kipesa maana yeye mwenyewe najiweza kipesa