Naisoma katiba pendekezwa na nnayaona mapunfufu

Naisoma katiba pendekezwa na nnayaona mapunfufu

BENCO

Senior Member
Joined
Nov 27, 2013
Posts
107
Reaction score
11
Hi wana jf!nimeanza kuisoma katiba mpya inayotarajiwa kupigiwa kura hapo bdy lakini kuna mapungufu mengi tu nimeyaona japo nipo sura ya nne sasa lakini yafuatayo nimeyaona ni mapungufu makubwa.

Sehemu ya kwanza,ktk alama za Taifa sijaona katiba kuitambua shilingi yetu kama alama ya Taifa wala haijasema Kuwa katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ni moja ya alama ya Taifa.

Sehemu ya nne,Dira ya Taifa ya maendeleo,hii katiba pendekezwa haija tamka wazi kama taifa tunafuata mlengo gani wa maendeleo kama ni Ubepari,ujamaa au mlengo wa kati,Manake taifa linaongozwa pasipokujuwa wapi tunaelekea au nni tunahitaji.

Sura ya tatu,suala la ardhi,Inatoa fursa kwa raia mtanzania kumilikishwa ardhi na mgeni kuitumia ardhi kwa uwkezaji tu,katiba haijatamka kwamba iwapo mtu alipata uraia wa Tanzania kwa kuandikishwa na akapata fursa ya kumilki ardhi kisha bady akabdili uraia atapoteza haki zake zote zihusuzo ardhi.

Bado naisoma katiba
 
hi wana jf!nimeanza kuisoma katiba mpya inayotarajiwa kupigiwa kura hapo bdy lakini kuna mapungufu mengi tu nimeyaona japo nipo sura ya nne sasa lakini yafuatayo nimeyaona ni mapungufu makubwa.

Sehemu ya kwanza,ktk alama za taifa sijaona katiba kuitambua shilingi yetu kama alama ya taifa wala haijasema kuwa katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania ni moja ya alama ya taifa.

Sehemu ya nne,dira ya taifa ya maendeleo,hii katiba pendekezwa haija tamka wazi kama taifa tunafuata mlengo gani wa maendeleo kama ni ubepari,ujamaa au mlengo wa kati,manake taifa linaongozwa pasipokujuwa wapi tunaelekea au nni tunahitaji.

Sura ya tatu,suala la ardhi,inatoa fursa kwa raia mtanzania kumilikishwa ardhi na mgeni kuitumia ardhi kwa uwkezaji tu,katiba haijatamka kwamba iwapo mtu alipata uraia wa tanzania kwa kuandikishwa na akapata fursa ya kumilki ardhi kisha bady akabdili uraia atapoteza haki zake zote zihusuzo ardhi.

Bado naisoma katiba

usiisome kama kasuku, usiruke ruke vipengele, nakushauri isome kwa makini kipengele hadi kipengele, halafu kitu kingine ni kutumia akili tu, coz sio kila kitu wajameni kinaweza kuwekwa katika katiba, otherwise hii katiba ingekuwa ni likitabu moja likubwa lenye kurasa zaidi ya gunia au magunia. Isome utaelewa.
 
usiisome kama kasuku, usiruke ruke vipengele, nakushauri isome kwa makini kipengele hadi kipengele, halafu kitu kingine ni kutumia akili tu, coz sio kila kitu wajameni kinaweza kuwekwa katika katiba, otherwise hii katiba ingekuwa ni likitabu moja likubwa lenye kurasa zaidi ya gunia au magunia. Isome utaelewa.

Shida inatokea hapo ambapo hata hayo machache yaliyowekwa hayajakidhi uhalisia
 
Kama suala la mlengo wa maendeleo yetu kitaifa hayapaswi kutamkwa kwe katiba sawa,hili ndo tutkja ambiwa ssi ni ujamaa na kujitegemea lakin kumbe utendaji ni mfumo wa kibepari,sioni kama ni dhambi tukiwa na kitabu kikubwa chenye mambo ya msingi kuliko kuwa na kitabu kidogo chenye mambo hafifu.
 
kama suala la mlengo wa maendeleo yetu kitaifa hayapaswi kutamkwa kwe katiba sawa,hili ndo tutkja ambiwa ssi ni ujamaa na kujitegemea lakin kumbe utendaji ni mfumo wa kibepari,sioni kama ni dhambi tukiwa na kitabu kikubwa chenye mambo ya msingi kuliko kuwa na kitabu kidogo chenye mambo hafifu.

benco, ukisisoma vizuri hii katiba utaielewa, acha uvivu wa kuisoma, panga muda isome na utagundua mambo mengi sana.
 
Hi wana jf!nimeanza kuisoma katiba mpya inayotarajiwa kupigiwa kura hapo bdy lakini kuna mapungufu mengi tu nimeyaona japo nipo sura ya nne sasa lakini yafuatayo nimeyaona ni mapungufu makubwa.

Sehemu ya kwanza,ktk alama za Taifa sijaona katiba kuitambua shilingi yetu kama alama ya Taifa wala haijasema Kuwa katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ni moja ya alama ya Taifa.

Sehemu ya nne,Dira ya Taifa ya maendeleo,hii katiba pendekezwa haija tamka wazi kama taifa tunafuata mlengo gani wa maendeleo kama ni Ubepari,ujamaa au mlengo wa kati,Manake taifa linaongozwa pasipokujuwa wapi tunaelekea au nni tunahitaji.

Sura ya tatu,suala la ardhi,Inatoa fursa kwa raia mtanzania kumilikishwa ardhi na mgeni kuitumia ardhi kwa uwkezaji tu,katiba haijatamka kwamba iwapo mtu alipata uraia wa Tanzania kwa kuandikishwa na akapata fursa ya kumilki ardhi kisha bady akabdili uraia atapoteza haki zake zote zihusuzo ardhi.

Bado naisoma katiba


Ohooooo walewale we kweli umevurugwa, mpaka leo hujui alama za taifa??????? heee afu ndio umeanza kuisoma ili uanze kukurupuka, Wenzio tumeisoma kitambo na tunajua tunajiandaa kufanya maamuzi sahihi ya Ndiyoooooooo! sasa mie nakushangaa miaka yote hiyo hujui taifa lako linaelekea wapi acha kuburuzwa na kuandikiwa ya kusema tena utakuta wewe ni mzee afu unajifanya hujui tumetoka wapi, tulipo na tunakwenda wapi unataka kutuchanganya tu na maneno yako ya kuokoteza, waache watanzania walioisoma wachangie maliza SURA ZOTE NDIO URUDI KUCHANGIA!
 
Kama suala la mlengo wa maendeleo yetu kitaifa hayapaswi kutamkwa kwe katiba sawa,hili ndo tutkja ambiwa ssi ni ujamaa na kujitegemea lakin kumbe utendaji ni mfumo wa kibepari,sioni kama ni dhambi tukiwa na kitabu kikubwa chenye mambo ya msingi kuliko kuwa na kitabu kidogo chenye mambo hafifu.


We kweli umevurugwa afu acha ubishi mpaka leo hujui alama za taifa??????? heee afu ndio umeanza kuisoma ili uanze kukurupuka, Wenzio tumeisoma kitambo na tunajua tunajiandaa kufanya maamuzi sahihi ya Ndiyoooooooo! Maliza zote ndio urudi ha ha ha ha eti unataka kila kitu kiwekwe hii pendekezwa yenyewe hujaisoma yote je hiyo unayoitaka wewe si utaisoma mwaka miaka 10 ha ha ha ha ha ha chenga kweli wewe.
 
Kama mimi nimevurugwa ntajie ni wapi na sura gani inaeleza Taifa letu ni mlengo gani ktk maendeleo,usilete bla bla,hatuna dira inayoeleweka kama Taifa,Tangu lini gari ikaendeshwa pasipo usukani na ukasema ni gari zuri@claudiaeliakim
 
Mmi sio mvivu that's why naona hayo ambay ni vema yakawepo,hivi ktiba kutamka kuwa ssi ni taifa la kijamaa,kibepari kuna ubaya,hivi utaandaje Sera mbalimbali za nchi kama hauna misingi unayoifuata,labda kama macho yangu hayaoni labda uniambie ni ktk sura ipi hayo yamwzngmzwa@Ebola hatari
 
mmi sio mvivu that's why naona hayo ambay ni vema yakawepo,hivi ktiba kutamka kuwa ssi ni taifa la kijamaa,kibepari kuna ubaya,hivi utaandaje sera mbalimbali za nchi kama hauna misingi unayoifuata,labda kama macho yangu hayaoni labda uniambie ni ktk sura ipi hayo yamwzngmzwa@ebola hatari

soma katiba inayopendekezwa katika sura ya pili. Sehemu ya kwanza hadi ya nne ambazo pia nimekuweka hapo kama picha ya hizo sehemu, sasa kama unakatiba inayopendekezwa hapo kwako pitia hizo sehemu kwa umakini ili uzielewe.

View attachment 235547 View attachment 235548

natumaini nitakuwa nimekujibu vema. Enenda zako kwa amani.
 
kama mimi nimevurugwa ntajie ni wapi na sura gani inaeleza taifa letu ni mlengo gani ktk maendeleo,usilete bla bla,hatuna dira inayoeleweka kama taifa,tangu lini gari ikaendeshwa pasipo usukani na ukasema ni gari zuri@claudiaeliakim

isome sura ya pili nadhani utapata kitu juu ya hilo ulilomuuliza huyo jamaa hapo juu.
 
Hi wana jf!nimeanza kuisoma katiba mpya inayotarajiwa kupigiwa kura hapo bdy lakini kuna mapungufu mengi tu nimeyaona japo nipo sura ya nne sasa lakini yafuatayo nimeyaona ni mapungufu makubwa.

Sehemu ya kwanza,ktk alama za Taifa sijaona katiba kuitambua shilingi yetu kama alama ya Taifa wala haijasema Kuwa katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ni moja ya alama ya Taifa.

Sehemu ya nne,Dira ya Taifa ya maendeleo,hii katiba pendekezwa haija tamka wazi kama taifa tunafuata mlengo gani wa maendeleo kama ni Ubepari,ujamaa au mlengo wa kati,Manake taifa linaongozwa pasipokujuwa wapi tunaelekea au nni tunahitaji.

Sura ya tatu,suala la ardhi,Inatoa fursa kwa raia mtanzania kumilikishwa ardhi na mgeni kuitumia ardhi kwa uwkezaji tu,katiba haijatamka kwamba iwapo mtu alipata uraia wa Tanzania kwa kuandikishwa na akapata fursa ya kumilki ardhi kisha bady akabdili uraia atapoteza haki zake zote zihusuzo ardhi.

Bado naisoma katiba

Kama kweli wewe unaakili timamu na unaelewa
basi soma hapa

(a) raia wa Tanzania pekee ndiye atakayekuwa na haki ya kumiliki ardhi ya Tanzania, na haki hiyo italindwa kwa mujibu wa Katiba hii;
(b) mtu ambaye siyo raia wa Tanzania atakuwa na fursa ya kutumia ardhi kwa ajili ya uwekezaji na maendeleo mengine ya kiuchumi na makaazi;
 
Kama mimi nimevurugwa ntajie ni wapi na sura gani inaeleza Taifa letu ni mlengo gani ktk maendeleo,usilete bla bla,hatuna dira inayoeleweka kama Taifa,Tangu lini gari ikaendeshwa pasipo usukani na ukasema ni gari zuri@claudiaeliakim

Watanzania wenye kujali nchi yao wamekuambia vitu vingi sana juu ya hii Katiba Inayopendekezwa. Zaidi ya hayo utakuwa umekimbilia mbali sana hata yaliyoandikwa hata Sura ya Kwanza kwenye Katiba Inayopendekezwa kuhusu JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA: kuanzia SEHEMU YA KWANZA inaonesha MALENGO MAKUU ya Taifa na SEHEMU YA TATU inaonesha malengo ya Taifa KIUCHUMI, KIJAMII NA KIUTAMADUNI sidhani kama umeyasoma na kuyaelewa. Hebu pata muda na ujiridhishe kusoma tena.
 
Hamjaielewa hoja yangu ndogo na hii inanidhihirisha jinsi gani sis watz tulivyo,natoa mfano,katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ya 1977,sura ya kwanza,sehemu ya kwanza,kipengele cha 3(1) kinasema;JAMHURI YA MUUNGANO NI NCHI YA KIDEMOCRASIA NA YA KIJAMAA YENYE KUFUATA MFUMO WA VYAMA VINGI VYA SIASA.maana yake katiba hiyo ilitamka wazi kuwa taifa letu ni la kijamaa,sasa wengine mmenipa sura ambazo nimeshazisoma tyr,katiba pendekezwa inasema kujenga uchumi wa kisasa...katika misingi ipi?hafu pia katba inasema kutakuwa na dira ya Taifa ya maendeleo kwa nni isiseme wazi Dira yetu inajengwa na misingi flani ya uchumi.Mimi sijasema yaliyoandikwa ni mabya.
 
Hamjaielewa hoja yangu ndogo na hii inanidhihirisha jinsi gani sis watz tulivyo,natoa mfano,katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ya 1977,sura ya kwanza,sehemu ya kwanza,kipengele cha 3(1) kinasema;JAMHURI YA MUUNGANO NI NCHI YA KIDEMOCRASIA NA YA KIJAMAA YENYE KUFUATA MFUMO WA VYAMA VINGI VYA SIASA.maana yake katiba hiyo ilitamka wazi kuwa taifa letu ni la kijamaa,sasa wengine mmenipa sura ambazo nimeshazisoma tyr,katiba pendekezwa inasema kujenga uchumi wa kisasa...katika misingi ipi?hafu pia katba inasema kutakuwa na dira ya Taifa ya maendeleo kwa nni isiseme wazi Dira yetu inajengwa na misingi flani ya uchumi.Mimi sijasema yaliyoandikwa ni mabya.

Hiyo ya 1977 IMEPITWA NA WAKATI NDO MAANA SASA TUNATAKA UIJUE NA KUIELEWA KATIBA INAYOPENDEKEZWA ILI USIWE NA MADUKUDUKU.
 
mie shida yangu ipo kwenye utangulizi.

NA KWA KUENDELEZA DHAMIRA YETU HIYO, ni muhimu:
(a) kulinda, kuimarisha na kuudumisha Muungano wa nchi za Jamhuri ya Tanganyika naJamhuri ya Watu wa Zanzibar;

1. Kwanini katiba isitambue uwepo wa nchi hizi mbili? Tunarudi pale pale kuhusu mfumo wa muungano.
2. Je tuliunganisha majina ya nchi au wananchi? kwa nini wananchi wasiulizwe aina ya muungano wanao utaka kwasasa.
3. Je Muungano ni kwafaida ya nani ( wananchi, chama au viongozi)?
 
katika sura ya kwanza, sehemu ya kwanza, kifungu cha pilli ,moja.

(1) Eneo la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni🙁a) eneo lote la Tanzania Bara, ikiwa ni pamoja na eneo lake la bahariambalo kabla ya Muungano lilikuwa likiitwa Jamhuri ya Tanganyikapamoja na maeneo mengine yatakayoongezeka; na(b) eneo lote la Zanzibar, ikiwa ni pamoja na eneo lake la bahari ambalokabla ya Muungano lilikuwa likiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibarpamoja na maeneo mengine yatakayoongezeka.

1. Kwanini baada ya muungano Tanganyika ikabadilishwa jina na kuitwa Tanzania bara na huku zanzibar ikaendelea kutambulika kwa jina lake?
 
Back
Top Bottom