Naitaj kware

Naitaj kware

kamisha

Member
Joined
Mar 7, 2015
Posts
39
Reaction score
1
Waungwana mwenye Kware weng majike na anashida ya madume kwa ajili ya mbegu tubadilishane maana ninamadume meng had majike hawana raha hapatuli bandan, hata10 nitawafata kokote ulipo dar hii
 
Kaka naomba nikupe ushauri wa Bure, Ratio ya Majike na Madume kwa Kwale ni 1:5 hii ikimaanisha kila Dume moja liendane na majike 5. Ratio hii itawapa amani kwale wako na watataga mayai yaliyo fertile na utabapa ratio nzuri kwenye kutotolesha, ratio ya madume ikiwa kubwa kuliko nilivyoeleza utapata mayai machache yaliyo fertile na hivyo hatching rate yako itakuwa chini sana.

NINI CHA KUFANYA:
Kwa sasa tenganisha madume na majike, then fuata ratio 1:5 hao madume extra watenge pembeni hadi hapo utakapo pata mtu wa kubadilishana naye au utakapopata mteja, otherwise rotate madume from time to time.
 
Ahahahaaaa...kwareeeeeeee.....haya bwana...ila nasikia kware ni boooonge la biashara. Inalipa sana ni kweli?
 
Kaka naomba nikupe ushauri wa Bure, Ratio ya Majike na Madume kwa Kwale ni 1:5 hii ikimaanisha kila Dume moja liendane na majike 5. Ratio hii itawapa amani kwale wako na watataga mayai yaliyo fertile na utabapa ratio nzuri kwenye kutotolesha, ratio ya madume ikiwa kubwa kuliko nilivyoeleza utapata mayai machache yaliyo fertile na hivyo hatching rate yako itakuwa chini sana.

NINI CHA KUFANYA:
Kwa sasa tenganisha madume na majike, then fuata ratio 1:5 hao madume extra watenge pembeni hadi hapo utakapo pata mtu wa kubadilishana naye au utakapopata mteja, otherwise rotate madume from time to time.

Thax bro deo da! Madume wamezid sana kwangu
 
Waungwana still shidA yangu bado inaendelea so atakaye nisaidia nashukur hata kuanzia wa5 napo tayar kuwafata
 
Back
Top Bottom