naitaji dawa ya matatizo ya kichwa

naitaji dawa ya matatizo ya kichwa

ladyfurahia

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
14,753
Reaction score
9,575
Habari doctor

sio mwepesi sana kujongea katika jukwaa hili ila naitaji msaada wa dawa
ya kichwa ambacho kinauma, na kufanya uwe na unatetemeka kila saa. na
kuwa na flu isiyoneneka niko kwa job hapa siwezi fanya kazi vizuri kwa homa hii,
vilvile nisaidie dawa ya sikio ambalo linauma mpaka nashindwa kufanya kazi
kiufaninisi zaidi nimeenda kwenye hospitali nimepewa dawa za kumeza na
kuchoma sindano laikini wapi leo ninapoandika hapa ninaumwa mwili mzima
na joto limepanda sasa sijui ni malaria kwani sijapima muda mrefu na nafunga
chandarua changu vyema, sielewi nifanyeje doctor ni dawa gani yaweza nitibu

Nisaidie doctor kwani sasa naona too much

Nawakilisha

siku njema na kazi njema
 
Kichwa...kama umetumia dawa na bado kinauma. Jaribu kufanya eye test.
Sikio...mimi pia nimehangaika na sikio karibu mwaka mzima. nimetumia sindano, antibiotics na dawa za kuminyia sikioni lakini zikabaunzi. Nikashauriwa mtaani nitumie mafuta ya kuku wa kienyeji, nimeitumia hiyo for less a week, nikapona kabisa.
 
kwa hiyo naweza kutumia mafuta ya kuku hapo best asante kwa kunijuza ila nitapata wapi hayo mafuta ya kuku auni nichemshe kuku wa kienyeji ndo nipate hayo mafuta nisaidie hapa? ni hosp gani haapa dar naweza fanya checkup hiyo ya vipimo vya eye test best? au niende pale ccbrt wanavyovipimo hivyo? pls
Kichwa...kama umetumia dawa na bado kinauma. Jaribu kufanya eye test.
Sikio...mimi pia nimehangaika na sikio karibu mwaka mzima. nimetumia sindano, antibiotics na dawa za kuminyia sikioni lakini zikabaunzi. Nikashauriwa mtaani nitumie mafuta ya kuku wa kienyeji, nimeitumia hiyo for less a week, nikapona kabisa.
 
kwa hiyo naweza kutumia mafuta ya kuku hapo best asante kwa kunijuza ila nitapata wapi hayo mafuta ya kuku auni nichemshe kuku wa kienyeji ndo nipate hayo mafuta nisaidie hapa? ni hosp gani haapa dar naweza fanya checkup hiyo ya vipimo vya eye test best? au niende pale ccbrt wanavyovipimo hivyo? pls

macho ni ccbrt....lakini pia kichwa kinaweza kusababishwa na dehydration....unapaswa kuwa unakunywa maji at least one lita a day. hata kama unafanya kazi kwenye air cond...ubongo ukikosa maji ya kutosha (na mifumo ya damu) huwa unatendency ya kusinyaa na hapo kichwa lazima kiume sana

mafuta ya kuku....ni rahizi kutengeneza: tafuta kuku wa kienyeji, kisha umkaange bila kutia maji wala chumvi wala kitu chochote. akishatoa mafuta uyachukue yachuje kisha acha yapoe. Dondoshea sikioni at least twice a day. usiku na asubuhi.
(ofcourse ukishapata mafuta, endelea kumpika kuku wako kama kawaida kwa ajili ya kitoweo)
 
asante sana kwa ushauri na utabibu wako leo itabidi nikafanye hvyo, na kuhusu maji mm sio mpenzi sana kwa kunywa maji huwa nakunywa maji glasi moja kwa siku nzima naona happo ndio nimekosea kabisa nashukuru sana dr kwa ushauri huu acha niufanyie kazi
macho ni ccbrt....lakini pia kichwa kinaweza kusababishwa na dehydration....unapaswa kuwa unakunywa maji at least one lita a day. hata kama unafanya kazi kwenye air cond...ubongo ukikosa maji ya kutosha (na mifumo ya damu) huwa unatendency ya kusinyaa na hapo kichwa lazima kiume sana

mafuta ya kuku....ni rahizi kutengeneza: tafuta kuku wa kienyeji, kisha umkaange bila kutia maji wala chumvi wala kitu chochote. akishatoa mafuta uyachukue yachuje kisha acha yapoe. Dondoshea sikioni at least twice a day. usiku na asubuhi.
(ofcourse ukishapata mafuta, endelea kumpika kuku wako kama kawaida kwa ajili ya kitoweo)
 
Kuhusu maji, bonyeza hapa utajifunza ni kiasi gani unatakiwa unywe kwa siku.


asante sana kwa ushauri na utabibu wako leo itabidi nikafanye hvyo, na kuhusu maji mm sio mpenzi sana kwa kunywa maji huwa nakunywa maji glasi moja kwa siku nzima naona happo ndio nimekosea kabisa nashukuru sana dr kwa ushauri huu acha niufanyie kazi
 
asante sana kwa ushauri na utabibu wako leo itabidi nikafanye hvyo, na kuhusu maji mm sio mpenzi sana kwa kunywa maji huwa nakunywa maji glasi moja kwa siku nzima naona happo ndio nimekosea kabisa nashukuru sana dr kwa ushauri huu acha niufanyie kazi

maji ni muhimu sana mwilini kuliko hata chakula....
 
Kujitibu maumivu ya kichwa kwa dakika 5 pasipo kutumia dawa jaribu hii

482679_528319063878908_1100215985_n.png


Natural Therapy For Headaches!
In about 5 mins, your headache will go.......

The nose has a left and a right side.
We use both to inhale and exhale.
Actually they are different.
You'll be able to feel the difference.

The right side represents the sun.
The left side represents the moon.

During a headache, try to close your right nose
and use your left nose to breathe.
In about 5 mins, your headache will go.

If you feel tired, just reverse, close your left nose
and breathe through your right nose.
After a while, you will feel your mind is refreshed.

Right side belongs to 'hot', so it gets heated up easily.
Left side belongs to 'cold'.

Most females breathe with their left noses,
so they get "cooled off" faster.
Most of the guys breathe with their right noses,
they get worked up.

Do you notice, the moment you awake, which side breathes better?
Left or right ?
If left is better, you will feel tired.
So, close your left nose and use your right nose for breathing..
You will feel refreshed quickly.

Do you suffer from continual headaches?
Try out this breathing therapy.

Close your right nose and breathe through your left nose.
Your headaches will be gone.
Continued the exercise for one month.

Why not give it a try.....a natural therapy without medication............cc.@
ladyfurahia


chanzo.https://www.jamiiforums.com/jf-doct...akika-5-pasipo-kutumia-dawa-jaribu-hii-2.html
 
Back
Top Bottom