Impression without expression leads to depression.
<br />Kila la heri kaka.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Mpe hata maneno matamu mwenzio yakumfariji ktk takwa/hitaji lake.
<br /><br /><br />
<br /><br />
yaani leo maneno matamu yameisha kabisa. Dah! Nitampa kesho.
<br /><br /><br />
<br /><br />
duuh kijana asije akakata tamaa ya mke...
Nani bihalusi? mbona mimi ninaeregister ndoa za JF sijapatiwa habali?<br />
<br />
kijana mchumba kashapata. Ngoja nianze kutengeneza apitaiti ya pilau la harusi.
<br />Nani bihalusi? mbona mimi ninaeregister ndoa za JF sijapatiwa habali?
Najua wapo weng watajiuliza maswal meng sana ila ni kwel kwamba natafuta msichana ambaye baadaye atakuwa mke wangu,
vigezo
umri:asizidi miaka 23
awe tayar kupima ukimwi
asiwe mref wala mfupi sana
awe amesoma kuanzia form six na kuendelea
aliye tayar
email:samrich.youngboy20@gmail.com
WAHI NAFASI NI MOJA TU
<br />
<br />
utajibeba! Bi harusi akikosekana itabidi niokoe jahazi. Lol.
<br />huku kwangu pia kakosekana njoo uokoe aisee! kanipiga kibuti mkesha wa eid