Naitaji mkopo wa kuendeleza biashara yangu iliyokwama

Naitaji mkopo wa kuendeleza biashara yangu iliyokwama

ladyfurahia

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
14,753
Reaction score
9,575
habari wanajf

Awali ya yote ninaomba mkopo kwa mwanajf yeyote wa Tsh 1,200,000/= wenye riba kuanzia 15% kwani nina biashara yangu ambayo imesimama kwa kwa muda sasa nataka niifufue ili iendelee tena, tatizola kusimama kwa hii biashara ni kutokana na matatizo ya kifamilia yaliyonipata ndo mana nikashindwa kuendeleza biashara hii. Na ikakwamba kwa muda mrefu sasa hivyo ninaomba mwenye hisani anikopeshe kiasi hicho nilichokitaja hapo juu kwa ajili ya hiyo biashara. Tutasaini kwa mwaka miezi sita au miezi tisa kama mambo yakiwa mazuri zaidi
Nashukuru kwa yeyote atakayejitolea kwa kunikopesha

Mungu awabariki / akubariki
 
habari wanajf

awali ya yote ninaomba mkopo kwa mwanajf yeyote wa tsh 1,200,000/= wenye riba kuanzia 15% kwani nina biashara yangu ambayo imesimama kwa kwa muda sasa nataka niifufue ili iendelee tena, tatizola kusimama kwa hii biashara ni kutokana na matatizo ya kifamilia yaliyonipata ndo mana nikashindwa kuendeleza biashara hii. Na ikakwamba kwa muda mrefu sasa hivyo ninaomba mwenye hisani anikopeshe kiasi hicho nilichokitaja hapo juu kwa ajili ya hiyo biashara. Tutasaini kwa mwaka miezi sita au miezi tisa kama mambo yakiwa mazuri zaidi
nashukuru kwa yeyote atakayejitolea kwa kunikopesha

mungu awabariki / akubariki

security ya huu mkopo itakuwa nini maana hata ma bank wanataka uwe na kitu kama dhamana kama mambo yakienda vibaya watapataje hela yao?
Nadhani umenielewa mwanangu
 
habari wanajf

Awali ya yote ninaomba mkopo kwa mwanajf yeyote wa Tsh 1,200,000/= wenye riba kuanzia 15% kwani nina biashara yangu ambay....
Kwa nini kuanzia 15%? Una maana hiyo ndio kiwango wa chini au juu?
 
samahani nimesahau kuweka dhamana yake ni kiwanja ninacho kipo chamazi ambacho bei yake nilinunua kwa Tshs. 2,000,000/= asante kwa kunikumbusha rafiki
security ya huu mkopo itakuwa nini maana hata ma bank wanataka uwe na kitu kama dhamana kama mambo yakienda vibaya watapataje hela yao?
Nadhani umenielewa mwanangu
 
habari wanajf

Awali ya yote ninaomba mkopo kwa mwanajf yeyote wa Tsh 1,200,000/= wenye riba kuanzia 15% kwani nina biashara yangu ambayo imesimama kwa kwa muda sasa nataka niifufue ili iendelee tena, tatizola kusimama kwa hii biashara ni kutokana na matatizo ya kifamilia yaliyonipata ndo mana nikashindwa kuendeleza biashara hii. Na ikakwamba kwa muda mrefu sasa hivyo ninaomba mwenye hisani anikopeshe kiasi hicho nilichokitaja hapo juu kwa ajili ya hiyo biashara. Tutasaini kwa mwaka miezi sita au miezi tisa kama mambo yakiwa mazuri zaidi
Nashukuru kwa yeyote atakayejitolea kwa kunikopesha

Mungu awabariki / akubariki

Wewe ulikuwa mtu wa kwenda katika mabenki hapa Bongo, wao uwaelezee hiyo biashara yako na hatimaye wafike site kwa ajili ya kuhakiki maswala mengine ya kibiashara na wakiridhika watakupa mkopo bila shida na riba kubwa kiasi hicho.
Tatizo ninaloliona hapa Tanzania mabenki yote yapo kwa madhumuni tofauti ikiwa pamoja na kuwakopesha mafisadi waliopo katika nchi hii wakiwemo wahindi. Amka Tafakari na chukua hatua.
 
nashukuru kwa mawazo yako ila huko benki si lazima uwe member wao ndipo wanakukopesha ndugu sassa mm siko huko benki yeyote sasa nitafanyeje?
Wewe ulikuwa mtu wa kwenda katika mabenki hapa Bongo, wao uwaelezee hiyo biashara yako na hatimaye wafike site kwa ajili ya kuhakiki maswala mengine ya kibiashara na wakiridhika watakupa mkopo bila shida na riba kubwa kiasi hicho.
Tatizo ninaloliona hapa Tanzania mabenki yote yapo kwa madhumuni tofauti ikiwa pamoja na kuwakopesha mafisadi waliopo katika nchi hii wakiwemo wahindi. Amka Tafakari na chukua hatua.
 
Kama unakitu cha kuweka bond na upo serious PM au SMS +971504374387 Dubai ,Kama upo serious tu
 
Back
Top Bottom