Naitaji msaada wa ushauri wa biashara ya chakula cha mifugo

Kachera

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2018
Posts
372
Reaction score
272
Habari Wana biashara. Kama kichwa Cha habari kinavyo jieleza, naomba msaada wa kujua hii biashara kwa undani. faida zake hasara zake upatikanaji wa Mali ghafi nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…