naitaji mume wa kuoa ASP

Aaah iki kizazi cha dot komuu kina kila kadizaini ya laana
 
Kwani kufanya sex mara nyingi huanzia ngapi? Anyway subiri mpaka wenye hizo sifa watakapowaacha wake zao ndipo waje kukuoa partially used from japan (inasoma kilomita ngapi?).
 
Ila mimi ai jua mwanaume mwenye sifa hizo hana hata muda wakusoma e.mail achilia mbali kuingia forums wenye pesa wako busy mama
 
Last edited by a moderator:
utakubali kuwa mke wa pili?ni pm kama unakubali
 
Wasn't my intention upaliwe, ila kukuchekesha ndicho nilichopania.

Ila seriously, umedo more than 3 times halafu unasema partialy virgin.

Inawezekana watoboaji walitoboa nusu, nusu akabana kumtamanisha mwenye magari.
 
Jamii forum mnanipa raha sana yaani nacheka mwenyewe kama chizi 2 hapa 🙂
 
nina hakika hata darasani huna kitu wewe ulipitapita tu...
maana unaonesha huwezi tafuta unataka utafutiwe tafuta wagane wapo!
au nipe no yako nikuunganishe na dingi yangu mie anakidhi vigezo vyako
 

Duuh! Hapo kwenye HIV ndo pagumu kwangu, mi niko POSTIVE. vigezo vingine vyote niko pouwa.
 

ndoa hata ya mkeka,huchukua zaidi ya wiki moja...maana maandalizi yake ya kupiga timing...ya kuwaandaa watu wa kuwafungisha,na jinsi ya kuwakamata live ili wawafungishe lazima ichukue zaidi ya wiki kadhaa...so it is either u are not serious and tries to make some humour or u have some serious underlying psychological problem...go and get attention of pyschologists and u will get relief...try to examine your situation and get insight of your problem...alamsiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…