Naitaji piki piki ya mkataba nipo Dar

Naitaji piki piki ya mkataba nipo Dar

Joined
May 23, 2024
Posts
22
Reaction score
12
Habari viongozi,

Mimi ni kijana wa miaka 24 mkazi wa Dar es salaam mtaa wa External manispa ya Ubungo,
Naitaji MSADA kwa alie na piki piki ya mkataba au ya daywaka, pia ni mjuzi wa kuendesha ila leseni sina na sio mda nitakata, namba 0785598033
 
Kama mkataba mpya ni miezi mingapi?



KAZI ni kipimo cha UTU
 
Back
Top Bottom