yuda75
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 520
- 1,385
habari naitaji ramani ya nyumba vyumba vitatu na sebule
chumba kimoja master then public toilet
kiawanja ni sq 15/15
kipo arusha pia ni flat hakuna mwinuko hata kidogo
pia nipate kujua vifaa na idadi ya vitu vitakavyo itajika hadi kufika
kwenye lentaa
asanteni
chumba kimoja master then public toilet
kiawanja ni sq 15/15
kipo arusha pia ni flat hakuna mwinuko hata kidogo
pia nipate kujua vifaa na idadi ya vitu vitakavyo itajika hadi kufika
kwenye lentaa
asanteni