Wanajamvi naomba msaada kwa anaejua tution ya hge kwa mwanafunzi mtarajiwa wa form5.amechelewa kuanza so nilikua nahitaji centra au mwalimu atakaeenda nae kwa kasi kidogo ili kumtoa u olevl.mdogo wangu yupo dsm na tution iwe asubuh
Wanajamvi naomba msaada kwa anaejua tution ya hge kwa mwanafunzi mtarajiwa wa form5.amechelewa kuanza so nilikua nahitaji centra au mwalimu atakaeenda nae kwa kasi kidogo ili kumtoa u olevl.mdogo wangu yupo dsm na tution iwe asubuh
Mpepetu mtoto amekaa sana nyimbani nahitaji apate pahala ambapo wataichangamsha akili yake kbla hajaingia darasani tena.sio kilaza ni mzuri tu.sema kikaa sana home bila kujishugulisha kunamfanya asahau baadhi ya vitu.