Naitaka CHADEMA ya mwaka 2014 kurudi nyuma

Naitaka CHADEMA ya mwaka 2014 kurudi nyuma

Elitwege

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
5,294
Reaction score
10,970
Habari.

Chadema ya mwaka 2014 kurudi nyuma ilikuwa ya kutetea masilahi ya taifa ,ya kujenga hoja na mara zote ilikuwa raha kuwasikiliza wakiibua hoja ufisadi mzito kwenye mikataba .

Leo Chadema imekuwa ya kutetea masilahi ya mabeberu, hawajengi hoja tena kazi yao ni kuokoteza tu,na kushangilia ndege za watanzania zinapokamatwa au madini yanapotoroshwa nje!!!!

Chadema kutoka kupigania masilahi ya taifa hadi kupigania masilahi ya mabeberu.!! Hivi chadema ya mwaka 2014 kurudi nyuma imeenda wapi?
Au ndiyo laana ya Dk Slaa??
 
Tatizo ni misingi ya chuki na utengano uliojengwa na awamu hii. Yeyote mwenye mawazo mbadala hata ndani ya ccm kinyume na mtukufu hatakiwi. Tunahitaji katiba bora kuweka misingi imara.
 
Habari.

Chadema ya mwaka 2014 kurudi nyuma ilikuwa ya kutetea masilahi ya taifa ,ya kujenga hoja na mara zote ilikuwa raha kuwasikiliza wakiibua hoja ufisadi mzito kwenye mikataba .

Leo Chadema imekuwa ya kutetea masilahi ya mabeberu, hawajengi hoja tena kazi yao ni kuokoteza tu,na kushangilia ndege za watanzania zinapokamatwa au madini yanapotoroshwa nje!!!!

Chadema kutoka kupigania masilahi ya taifa hadi kupigania masilahi ya mabeberu.!! Hivi chadema ya mwaka 2014 kurudi nyuma imeenda wapi?
Au ndiyo laana ya Dk Slaa??
Wakati huo hata mimi nilikuwa kamanda mtiifu, lakini niliachana na hawa jamaa wa ufipa baada ya kuanza kuzungusha mikono na kudeki lami.
 
Miaka hiyo Tulikuwa na Uongozi na utawala wa kidekteta huu na Kumwaga Damu za binadamu na Kufanya Kama Ibada yake!
 
Tatizo ni misingi ya chuki na utengano uliojengwa na awamu hii. Yeyote mwenye mawazo mbadala hata ndani ya ccm kinyume na mtukufu hatakiwi. Tunahitaji katiba bora kuweka misingi imara.
Kibaya zaidi, CCM na Vyombo vya Dola hakuna Tofauti. Wanajidandanya eti hawachekwi kama zamani, Wangejua kwasasa ndiyo inadharaurika Zaidi ya Kipindi cha nyuma. Shida, ukiwacheka na kuwazomea unakuwa unamzomea Jiwe na PoliCCM pamoja na TICCM.
 
Kibaya zaidi, CCM na Vyombo vya Dola hakuna Tofauti. Wanajidandanya eti hawachekwi kama zamani, Wangejua kwasasa ndiyo inadharaurika Zaidi ya Kipindi cha nyuma. Shida, ukiwacheka na kuwazomea unakuwa unamzomea Jiwe na PoliCCM pamoja na TICCM.

Ni kweli kabisa, kwa sasa ccm kwakuwa ccm haina mvuto tena, Magufuli ameamua kutumia madaraka yake ya amri jeshi mkuu kuipa ccm ulinzi wa vyombo vya dola. Na huko kwenye chaguzi inabidi vyombo vya dola na tume ya uchaguzi vitumike kuhakikisha ccm wanatangazwa washindi ili kuhadaa umma eti kwamba ccm sasa hivi inakubalika. Ukweli ni kuwa ccm haikubaliki na haina tena uwezo wa kufanya siasa hasa za ushindani, na sasa imevaa rasmi sura ya chama cha kijeshi kuliko chama cha siasa.
 
Habari.

Chadema ya mwaka 2014 kurudi nyuma ilikuwa ya kutetea masilahi ya taifa ,ya kujenga hoja na mara zote ilikuwa raha kuwasikiliza wakiibua hoja ufisadi mzito kwenye mikataba .

Leo Chadema imekuwa ya kutetea masilahi ya mabeberu, hawajengi hoja tena kazi yao ni kuokoteza tu,na kushangilia ndege za watanzania zinapokamatwa au madini yanapotoroshwa nje!!!!

Chadema kutoka kupigania masilahi ya taifa hadi kupigania masilahi ya mabeberu.!! Hivi chadema ya mwaka 2014 kurudi nyuma imeenda wapi?
Au ndiyo laana ya Dk Slaa??
Muwarudishe majasusi yenu ya 2014 kurudi nyuma muone.
 
Habari.

Chadema ya mwaka 2014 kurudi nyuma ilikuwa ya kutetea masilahi ya taifa ,ya kujenga hoja na mara zote ilikuwa raha kuwasikiliza wakiibua hoja ufisadi mzito kwenye mikataba .

Leo Chadema imekuwa ya kutetea masilahi ya mabeberu, hawajengi hoja tena kazi yao ni kuokoteza tu,na kushangilia ndege za watanzania zinapokamatwa au madini yanapotoroshwa nje!!!!

Chadema kutoka kupigania masilahi ya taifa hadi kupigania masilahi ya mabeberu.!! Hivi chadema ya mwaka 2014 kurudi nyuma imeenda wapi?
Au ndiyo laana ya Dk Slaa??
Ukweli ni kwamba wamekua watu wa kulialia tu hamasa hakuna hawajengi tena hoja imebaki kuokoteleza tu yaani imekua matatizo mfano miaka uliotaja movement for change m4c opalation sangala kweli walikua wanapendeza Leo mmmm ujinga mtupu tuhoja twa kuokoteza wamefeli wamebakiza mipasho tu kama kwenye taarabu wanayo laana.
 
Chadema ya mwaka 2014 kurudi nyuma ilikuwa ya kutetea masilahi ya taifa ,ya kujenga hoja na mara zote ilikuwa raha kuwasikiliza wakiibua hoja ufisadi mzito kwenye mikataba .

Hoja walikuwa wanajengea chumbani au kwenye mikutano ya wazi.......?
 
Kupigwa risasi mbunge ndiyo sababu ya chadema kuacha kutetea masilahi ya taifa?

unauliza maswali gani hivi mazingira ya kufanya siasa ya mwaka 2014 na 2019 ni sawa? hivi ujui kama vyama vya upinzani havifanyi mikutano ya hadhara kuonesha huo uovu wa serikali? kila ck usikii wapinzani wanashinda mahakamani kwa kesi za uchochezi?
 
Back
Top Bottom