Naitakia kila la kheri Al Hilal FC pale Omdurman nchini Sudan

Naitakia kila la kheri Al Hilal FC pale Omdurman nchini Sudan

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Wengine hatujazoea kabisa unafiki, kujificha au hata tu kukaa na jambo moyoni.

Na kuna mpuuzi mmoja (nimemsahau jina) wiki hii alitutaka Watanzania (tena kwa kutufokea) kuwa watu wa Yanga SC na Simba SC tupendane na tushangiliane (tusapotiane) hasa tukiwa tunacheza Kimataifa.

Na kilichonishangaza zaidi kuhusu (kumhusu) huyo mpuuzi mmoja ni kwamba wakati leo akitufokea na kutulazimisha (kututaka) wana Simba SC tuache chuki kwa Yanga SC na tuisapoti, yeye alikaa kimya na hata hakumkanya Mhamasishaji Mkuu wa Yanga SC Haji Manara pale alipozitaarifu timu zote ambazo zitakuja kucheza na Simba SC Tanzania (kwa Mkapa) kuwa ziwe makini, kwani Simba SC huwa inamwaga dawa vyumbani na hata kuua ili ishinde.

Kudadadeki kila la kheri Al Hilal FC!
 
Wengine hatujazoea kabisa Unafiki, Kujificha au hata tu Kukaa na Jambo Moyoni.

Na kuna Mpuuzi Mmoja ( nimemsahau Jina ) Wiki hii alitutaka Watanzania ( tena kwa Kutufokea ) kuwa Watu wa Yanga SC na Simba SC tupendane na tushangiliane ( tusapotiane ) hasa tukiwa tunacheza Kimataifa.

Na kilichonishangaza zaidi kuhusu ( kumhusu ) huyo Mpuuzi Mmoja ni kwamba wakati leo akitufokea na kutulazimisha ( kututaka ) wana Simba SC tuache Chuki kwa Yanga SC na tuisapoti Yeye alikaa Kimya na hata hakumkanya Mhamasishaji Mkuu wa Yanga SC Haji Manara pale alipozitaarifu Timu zote ambazo zitakuja kucheza na Simba SC Tanzania ( kwa Mkapa ) kuwa ziwe Makini kwani Simba SC huwa inamwaga Dawa Vyumbani na hata Kuua ili ishinde.

Kudadadeki kila la kheri Al Hilal FC!!!!
Watapigwa Kama ngoma
 
Wengine hatujazoea kabisa unafiki, kujificha au hata tu kukaa na jambo moyoni.

Na kuna mpuuzi mmoja (nimemsahau jina) wiki hii alitutaka Watanzania (tena kwa kutufokea) kuwa watu wa Yanga SC na Simba SC tupendane na tushangiliane (tusapotiane) hasa tukiwa tunacheza Kimataifa.

Na kilichonishangaza zaidi kuhusu (kumhusu) huyo mpuuzi mmoja ni kwamba wakati leo akitufokea na kutulazimisha (kututaka) wana Simba SC tuache chuki kwa Yanga SC na tuisapoti, yeye alikaa kimya na hata hakumkanya Mhamasishaji Mkuu wa Yanga SC Haji Manara pale alipozitaarifu timu zote ambazo zitakuja kucheza na Simba SC Tanzania (kwa Mkapa) kuwa ziwe makini, kwani Simba SC huwa inamwaga dawa vyumbani na hata kuua ili ishinde.

Kudadadeki kila la kheri Al Hilal FC!
Rage hakukosea..!!! Ni mbumbumbu tu anaweza kuwaza haya na kuyaombea yatokee
 
Huyo Haji sasa hivi ndo mnamsema ila kipindi yuko c-mbwa mlikuwa mnamuona baba lao 🤣🤣
 
Tuache unafki na U Simba na u Yanga wote kwa pamoja tuitakie ushindi Al Hilal
 
🙂Nawaombea ndugu zangu wa Sudan ushindi mnono wa mabao 3 kwa nunge halafu mwisho wa siku Uto wakishuka huku CAFCC wapangwe na TP MAzembe
 
Back
Top Bottom