Naitupia lawama Simba kwa kumliza Messi hadharani

Naitupia lawama Simba kwa kumliza Messi hadharani

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
NAITUPIA LAWAMA SIMBA "WEKUNDU WA MSIMBAZI" KWA KUMLIZA MESSI HADHARANI.

Baadhi ya vyombo vya habari vya Hispania na Argentina vimedai kama Leonel Messi wa PSG angekubaliwa kujiunga na Simba SC "wekundu wa Msimbazi" hakika kile kilio chake tusingekiona. Lile chozi ni baada ya kukosa nafasi ya kujiunga na mabingwa wa nchi na wala sio huzuni za kuiacha Barca.

Watu wa karibu na Messi wamewatupia lawama Uongozi wa Simba zaidi kwa kulileta kinda Peter Banda Simba wakati hata Messi alikuwa anataka kumwaga wino Msimbazi. Banda ndiye aliyeziba nafasi ya Messi. Benchi la ufundi limetoa hoja ya kwamba tayari umri wa Messi ni mkubwa sana hivyo hawezi kuleta matokeo chanya pale msimbazi. Labda ajiunge na veterani wa Simba.

Mchangiaji mmoja aitwaye Thiago aliyejitambulisha kama rafiki wa Messi alimshushia lawama kali msanii Diamond kwa kutoa ma-song makali ambayo yalichangia kwa kiasi kikubwa bwana Messi kutaka kuja bongo ili awe anafaidi ma-live shows ya Dangote platinumz.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Umasikini ni kitu kibaya sana,usipoweza kujicontrol,unaweza ukawa unawaza ujinga ujinga tu ila akili yako inakwambia kua upo sawa kabisa!

But siku ukipata hela ndio unakuja kugundua kua kumbe umasikini wako ulikufanya kua kituko kikubwa sana mbele ya jamii!
 
Umasikini ni kitu kibaya sana,usipoweza kujicontrol,unaweza ukawa unawaza ujinga ujinga tu ila akili yako inakwambia kua upo sawa kabisa!

But siku ukipata hela ndio unakuja kugundua kua kumbe umasikini wako ulikufanya kua kituko kikubwa sana mbele ya jamii!
Ni kweli ndugu. Ni kama wewe ulivyoandika comment yako ya kimaskini hapa. Sitaki kufafanua sana ila elewa kama wewe ni maskini sio wote ni maskini. Halafu kila mtu akisema aandike jina lake la ukweli hapa utabaki umeduwaa. Relax boss unapokuwa mtandaoni.
 
Ni kweli ndugu. Ni kama wewe ulivyoandika comment yako ya kimaskini hapa. Sitaki kufafanua sana ila elewa kama wewe ni maskini sio wote ni maskini. Halafu kila mtu akisema aandike jina lake la ukweli hapa utabaki umeduwaa. Relax boss unapokuwa mtandaoni.
Huo niliokupa ndio ukweli mchungu ambao huwezi kuubadili kwa ngonjera nyepesi kiasi hiki,

Soma ulichokiandika kisha jitafakari,

Ndio maana thd yako imestuck kwenye 7 comments only,atleast mimi nimejazia kidogo.
 
Huo niliokupa ndio ukweli mchungu ambao huwezi kuubadili kwa ngonjera nyepesi kiasi hiki,

Soma ulichokiandika kisha jitafakari,

Ndio maana thd yako imestuck kwenye 7 comments only,atleast mimi nimejazia kidogo.
Sawa. Uko sahihi. Furahi umeshinda.
 
Back
Top Bottom